Msichana ana kiburi, jeuri na dharau

Msichana ana kiburi, jeuri na dharau

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Deku kugundua Gari sio yakee kalaa konaaa..!! Jamaa kabaki kumuombea apate sup tu kweli ubayaa ubayaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee ukiwa kwenye sherehe ukapata mtu hakikisha unammega siku hiyohiyo akitoka pale ile furaha na wenge la sherehe au msiba humuisha na kurudiwa na akili timamu.

Kwahiyo hapo ni binti akili zimemrudia wenge limemtoka. Fanya maisha mengine. Halafu kumtukana mtu ambaye amekuonyesha maamuzi yake ni yapi ni ujinga, kua mpole.
Hapo ndio aliofeli baharia
 
Juzi Kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu Sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule demu akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa.Nataka nimtoe out anasema Hana mda.Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona.Nilitaka kumtukana.ushauri wenu wadau demu mwenye kiburi nimlee tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
Ku bold kama unatufokea yani. Hayo mengine watayasemea wajumbe
 
Mzee ukiwa kwenye sherehe ukapata mtu hakikisha unammega siku hiyohiyo akitoka pale ile furaha na wenge la sherehe au msiba humuisha na kurudiwa na akili timamu.

Kwahiyo hapo ni binti akili zimemrudia wenge limemtoka. Fanya maisha mengine. Halafu kumtukana mtu ambaye amekuonyesha maamuzi yake ni yapi ni ujinga, kua mpole.

Huyu bado lena kaka...ajajua maujanjanya mabaharia
 
Juzi Kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu Sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule demu akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa.Nataka nimtoe out anasema Hana mda.Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona.Nilitaka kumtukana.ushauri wenu wadau demu mwenye kiburi nimlee tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
Unataka ushauri wakati demu ameshakuacha tayari mzee ? Au hujaliona hilo ?
 
Natamani apate supp Kama Zote!
Demu umekutana naye kwenye harusi tu ushaanza kumwombea haya je angekuwa mkesi ungemuua. kama waona anazingua mwache aende zake yanini kufanya biashara yenye hasara.
 
Mtu akikuoneshea ujeuri we kuwa jeuri zaid yake.
Fanya kumtumia muamala wa laki moja ( iwe ni usiku mda ambao hawezi kwenda kwa wakala kutoa) kisha baadae urudishe muamala wako .
Hapo utakua umemuoneshea ujeuri wa hali ya juu, make hamna kitu kinauma kama kuwa ushapigia hela hesabu afu ukaona inayeyuka kma hela za Dr Shika.
 
Back
Top Bottom