Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Utateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musibaš!Musiba atateseka sanaa!
Utateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musibaš!Musiba atateseka sanaa!
Sema unamchukia ww! Wengine tunampenda na kumuheshimu!Unapogeuka kuwa adui wa hadhira ni kheri ufe kuliko kuendelea kuwa hai...hakuna gundu baya kama kuchukiwa na hadhira.. Fikiria kila roho ikupe laana yake.. Huo ni msiba mara saba kama roho tisa za paka
Unajua tuna watu wengi sana wamesoma lakini hawajaelimika
Haijalishi umesoma mabuku mangapi
Haijalishi umemaliza vyuo vingapi
Haijalishi umefaulu mitihani mingapi
Haijalishi umetunukiwa shahada ngapi
Swali muhimu... Je umeelimika?
Tuna watu wengi tu wenye uelewa kimo cha mbilikimo pamoja na kutumikia muda mwingi kwenye elimu, wamefaulu darasani wamefeli mitaani...
Chuo halisi cha kufaulu ni chuo cha maisha halisi
Musiba ana misiba mingi sijui ataanza na upi na kumaliza na upi
Ana msiba wa maadui aliojitengenezea
Ana msiba wa wale wote aliowatukana na kuwakejeli
Ana msiba wa wale wote aliowazushia tuhuma mbalimbali
Ana msiba wa kesi zilizoko mahakamani
Ana msiba wa wale wote ambao kupitia matamshi na matendo yake waliumia na kuumizwa kwa namna moja ama nyingine
Ana msiba wa hatima yake
Juu ya yote ana msiba wa mbeleko, mfadhili na mlinzi wake...!!!
Madhila yake yatakuwa ni bandika bandua..
Kila jambo lina nyakati zake
Kuna wakati wa kulia na kuna wakati wa kucheka
Ukilia leo kesho utacheka na kinyume chake!!!
View attachment 1745614
Ushujaa wake Ni upi, kumuabudu Jiwe? Sasa mungu wenu amekufa. Analiwa na mafunza huko futi 6 chiniUtateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musibaš!
Utateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musibaš!
Na JK Gang sasaiv litawashugulikia wote kimya kimya mliokuwa mnamtukana. Na kazi imeshaanza. Piga mchungaji na kondoo watasambaratikaUtateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musibaš!
ndiyo kamtembelea docta mwenzake kupigania uhai,umesahu mganga hajigangiHii picha ya kweli au yakupikwa mbona huyo Ni Kama doctor au
Ni Dokta mwenyewe huyo! Mwanasayansi mnafiki na kigeugeu! Leo anamponda Bosi wake kwa kuanzisha Nyungu pale Muhimbili, na wakati hapo kabla akiwa Waziri wa Utalii na Maliasili alitaka hizo Nyungu ziwepo huko kwenye vituo vya utalii kama moja ya njia za kumuunga mkono Bosi wake!Hii picha ya kweli au yakupikwa mbona huyo Ni Kama doctor au
Thubutu!Mara pa!! Ni katibu wa wizara ya habari na mawasiliano .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Musiba sawa na Anyero tu.Utateseka mwenyewe! Musiba ni shujaa wa Tz, kubali kataa, ukweli ndio huo! Stay blessed my brother Musiba!
We bado mdogo ,ulikua utaelewaKwa hiyo ukimchukia wewe inamaanisha watanzania wote wamemchukia
we nae huwa hujitambui kama kichaa fulani hivi, Haya kama Musiba ameudhi wengi je Kigogo2014 na Mange wameudhi wangapi? acha chuki zako binafsi na Musiba endelea na kazi yako ya uganga wa kienyeji, ndio maana Umekimbia Dar ukahamia mkoani kutibu watu kwa mitishamba, kufilisika kubaya sanaUnapogeuka kuwa adui wa hadhira ni kheri ufe kuliko kuendelea kuwa hai...hakuna gundu baya kama kuchukiwa na hadhira.. Fikiria kila roho ikupe laana yake.. Huo ni msiba mara saba kama roho tisa za paka
Unajua tuna watu wengi sana wamesoma lakini hawajaelimika
Haijalishi umesoma mabuku mangapi
Haijalishi umemaliza vyuo vingapi
Haijalishi umefaulu mitihani mingapi
Haijalishi umetunukiwa shahada ngapi
Swali muhimu... Je umeelimika?
Tuna watu wengi tu wenye uelewa kimo cha mbilikimo pamoja na kutumikia muda mwingi kwenye elimu, wamefaulu darasani wamefeli mitaani...
Chuo halisi cha kufaulu ni chuo cha maisha halisi
Musiba ana misiba mingi sijui ataanza na upi na kumaliza na upi
Ana msiba wa maadui aliojitengenezea
Ana msiba wa wale wote aliowatukana na kuwakejeli
Ana msiba wa wale wote aliowazushia tuhuma mbalimbali
Ana msiba wa kesi zilizoko mahakamani
Ana msiba wa wale wote ambao kupitia matamshi na matendo yake waliumia na kuumizwa kwa namna moja ama nyingine
Ana msiba wa hatima yake
Juu ya yote ana msiba wa mbeleko, mfadhili na mlinzi wake...!!!
Madhila yake yatakuwa ni bandika bandua..
Kila jambo lina nyakati zake
Kuna wakati wa kulia na kuna wakati wa kucheka
Ukilia leo kesho utacheka na kinyume chake!!!
View attachment 1745614