pole sana, nmepita jana usiku na kuona huo msiba, kituo halisi ni mwanzo wa makaburi/lyasembe. na pia gari za kupanda ni za bigwa na sio kilakala..Wanakaa karibu na makaburi ya Kola na ukienda panda gari za Kilakala shuka kituo cha makaburi ya Kola kulia utaona watu wengi tu kwenye msiba.
Poleni sana Mwenyezi Mungu awape moyo wa subiraPoleni sana wafiwa Mungu awape amani.
Nilimaanisha kama utaenda katika siku hizi za msiba hutapotea coz utaona watu wengi tu kwenye msiba hapapotezi, nakushukuruPole wafiwa Mungu awape ujasiri! Pole pia mtoa habari. Kama nikipata nafasi Mwezi ujao wa June nitaenda kumpa pole. Kwa maelezo ya mleta habari nikishuka kituo cha Makaburini Bado nitaona watu wengi mwezi Juni? Pole tena kwenu wote.