Kifo hakina huruma ikifika saa ya mja haizuiliki kuna huyu bwana Steve Jobs hakuhitaji msaada wa rais kupata matibabu na alifariki kwa ugonjwa.Taifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.
Mimi Ndio Nashanga "Ameondoka" Uchumi Wake Upo Chin Sanaaa Wkat Kaanza Sanaa Miaka Ming Nyumaa...Au Ndio Namna Kila Mtu Anavyozichanga Karata Zake?Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.
Kaingia mikataba.
Kafanya matangazo.
Kalamba deals na Al Riyami.
Kaonyeshwa Channel 10.
VHS na DVDs zimeuzwa.
Steps walikua naye.
Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.
Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?
Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
heheehWatu wengi wapo vijijini wanahitaji hayo matrekta, sio wewe umekaa town unasubiria upewe trekta ndio uende shamba, huo si uzushi.
Tena kwenye shughuli zao anamuona mtu anakwenda kutunza mamilioni halafu baadae mtu huyo huyo anaomba pesa za matibabuHakuna lolote.. tumuache mzee wa watu apumzike.
Kwani wasanii si mnapata pesa nyingi tu..? Jijengeeni utaratibu wa kujisevia na kuwekeza..sidhani kama kuna mtu mwenye jukumu la kukununulia au kukupa tu kisicho chako...tuache lawama za kimaskini..
Kapata nyingi sana na kampuni alizofanya nazo kazi zimeorodheshwa hapo juu!Ina maana Majuto hakuwa akipata pesa kutokana na kazi zake?
Ccm haina msaada wowote kwa wasanii zaidi ya kuwatumia kipindi cha kampeniTaifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.
Huyu bibie analalamika kila kitu!Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.
Kaingia mikataba.
Kafanya matangazo.
Kalamba deals na Al Riyami.
Kaonyeshwa Channel 10.
VHS na DVDs zimeuzwa.
Steps walikua naye.
Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.
Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?
Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua ?
Kwetu huwa tunafanya sherehe mzee wa makamo yale kufariki. Maana umri uliobakia ulikua ni umri wa kushambuliwa na magonjwa, hivyo kumfanya ateseke maishani mwakeTaifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.