Mkuu figganigga pole sana kwa msiba wa Babu
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema
Apumzike kwa amani
Pole sana mkuu
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema
Apumzike kwa amani
Pole sana mkuu
Last edited by a moderator:
Pole sana figganigga, mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wenu
Kwa masikitiko makubwa nawatangazia kuwa mwenzetu Figganigga amefiwa na babu yake mpendwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Msiba uko nyumbani KIJITONYAMA MAKUMBUSHO, MTAA WA NIGER KARIBU NA SAFINA HOTEL. Wasiliana na Figganigga 0714253692.
Utakuwa umepotea nyumba.
Mbona hatukuoni? Mia
nenda msibani, unajua tunakutegemea uwakilishe ukoo wetu?Pole sana figganigga. Mungu amweke mahali pema peponi babu yetu. mia.
Pole sana figganigga, mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wenu
Pole mzee wa Mia.
Na muda huu ndiyo najitayarisha ili niweze kwenda kulala msibani.
figganigga siwezi mtupa, alinifariji sana.
Kwa watakaopenda kuja, Mtanikuta.
Asante Arushaone