Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
- Thread starter
- #61
Poleni sana kwa msiba wa babu, figganigga,
Orayt, twen'zetu kule siasani nikakuvue gamba then nikuvishe gwanda uwe kamanda! Mzima mkuu?
Last edited by a moderator:
Poleni sana kwa msiba wa babu, figganigga,
rafiki uandae na maji ya moto maana magamba mengine ni balaaOrayt, twen'zetu kule siasani nikakuvue gamba then nikuvishe gwanda uwe kamanda! Mzima mkuu?
piga hiyo namba ya figganigga iliyowekwa hapo juu...mazishi
.hahahahahahahahapiga hiyo namba ya figganigga iliyowekwa hapo juu...
ukishapata taarifa uweke hapa na sisi tujiunge
Nawashukuru sana member wenzangu wa jamiiforums kwa kua na mimi bega kwa bega mwanzo mwisho. Natambua mchango wenu wa hali na mali, wengi sana mumenifariji kwa uwezo wenu, wapo walio fika msibani, walionitumia pm, walionitumia email, walio nipigia simu, wote nasema asanteni sana. Lakini shukurani za kipekee kabisa ziwaendee, Mtambuzi, Madame B, manoah, ladyfurahia, mathematics, dada yangu Mayasa, Lady doctor, Arushaone, Passion Lady, nitonye, Evelyn Salt, Drama Gal, hammy J, dada amu, na wengine wengi. Mimi sina cha kuwalipeni but Mungu tu ndo anaye weza. Mumenifaanya niamini kwamba jf ni zaidi ya mtandao wa kijamii. Nathamini na kutambua faraja zenu nyote. asanteni sana. Mia![]()
CC; Invisible.