Msiba: Charles Masanja hatunaye

Msiba: Charles Masanja hatunaye

Kaitaba

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2009
Posts
915
Reaction score
54
Nasikitika kuwatangazia kuwa meneja wa uwanja wa taifa amefariki,

Meneja huyo ni ndugu Masanja, amefariki leo kwa ajari baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba,

Marehemu Massanja jana alikuwa uwanjani wakati wa mechi kati ya simba na maafande akiwa na afya njema.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Ameni.
 
RIP Masanja!

kaitaba; ungeiweka kule kny mtangazo madogox2 ndo mahala pake
 
MUNGU awatie nguvu na ujasiri katika kipindi hiki cha majonzi ya msiba wa ndugu yenu.
 
polen wafiwa na Mungu awape faraja yake ya kweli kipindi hiki cha majonzi, Amen.
 
Nilimuona jana uwanjani akiwa amepiga suti yake nyeusi akiwa mchangamfu sana, kama ilivyokuwa kawaida yake. Inasikitisha sana kumpoteza Charles Masanja. Alikuwa mtu mzuri sana. Tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi. May the Almighty rest his soul in eternal peace. Amen!
 
Mkubwa pamoja na majonzi hayo na chanzo ulichokielezea labda ungetuambia/kutukumbusha chanzo cha huo ukuta kuanguka huenda kikawa ni nini??
  • nyumba yake haikujengwa kitaalamu??,
  • Kuta hizo ni za zamani sana kiasi kwamba kusavaivu zilikuwa zinabembelezwa??
  • Ama alikuwa akipita tu maeneo hayo akaangukiwa mkuu???
Mimi mwenzenu napenda kushughulika na chanzo na sio kutafuta nani mchawi, Samahani kama nawaboa jamani.

Nawatakia pole na Mungu amlaze mahala pema peponi, Amen.
 
RIP Masanja. sasa mimi kinachonishangaza ni kwa nini aliamua kuruka ukuta wakati alipokua akitaka kuingia ndani kwake? jamani ina maana hakuwa hata na namba ya simu ya mkewe au mtu yeyote ndani ili amfungulie mlango au ndio Islaeri alikua akimnyemelea na kumshawishi aruke ukuta ili afe? Kweli kifo tunatembea nacho bara barani na tupo nacho popote pale. Poleni wafiwa
 
RIP Masanja. sasa mimi kinachonishangaza ni kwa nini aliamua kuruka ukuta wakati alipokua akitaka kuingia ndani kwake? jamani ina maana hakuwa hata na namba ya simu ya mkewe au mtu yeyote ndani ili amfungulie mlango au ndio Islaeri alikua akimnyemelea na kumshawishi aruke ukuta ili afe? Kweli kifo tunatembea nacho bara barani na tupo nacho popote pale. Poleni wafiwa

alirudi usiku saa saba, naona mawasiliano na ndani kwake either hayakuwezekana au yalikuwa hayapo ndo akaamua aruke ukuta aingie ndani. mguu ukaingia kwenye vile vidirisha vya ukuta ukavunjika, na inasemekana alikuwa amelewa
 
Daaaaaaaaah! Eti alikuwa akijaribu kuingia nyumbani kwa kuruka ukata na ukuta ukamrudia na kumkandamiza kwenye gari na ukawa ndiyo mwisho wa maisha yake!
R.I.P Massanja.
 
Mkubwa pamoja na majonzi hayo na chanzo ulichokielezea labda ungetuambia/kutukumbusha chanzo cha huo ukuta kuanguka huenda kikawa ni nini??
  • nyumba yake haikujengwa kitaalamu??,
  • Kuta hizo ni za zamani sana kiasi kwamba kusavaivu zilikuwa zinabembelezwa??
  • Ama alikuwa akipita tu maeneo hayo akaangukiwa mkuu???
Mimi mwenzenu napenda kushughulika na chanzo na sio kutafuta nani mchawi, Samahani kama nawaboa jamani.

Nawatakia pole na Mungu amlaze mahala pema peponi, Amen.

Kama umefuatilia hata vyombo vya habari vya leo, ni kwamba alikuwa anaingia ndani kupitia juu ya ukuta

ukuta huo inaelekea haukuwa imara ukamuangukia, sijui ni kwa nini hakupitia mlangoni mpaka apande ukuta ndo aingie ndani.
 
alirudi usiku saa saba, naona mawasiliano na ndani kwake either hayakuwezekana au yalikuwa hayapo ndo akaamua aruke ukuta aingie ndani. mguu ukaingia kwenye vile vidirisha vya ukuta ukavunjika, na inasemekana alikuwa amelewa
du kazi kweli kweli saa saba amaelewa!kweli mkewe kazi alikuwa nayo.matendo yake yanamfuata
 
R.I.P. Ndugu Charles Massanja!

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=SMwrzlAOhZ4"]http://www.youtube.com/watch?v=SMwrzlAOhZ4[/ame]
 
Mkubwa pamoja na majonzi hayo na chanzo ulichokielezea labda ungetuambia/kutukumbusha chanzo cha huo ukuta kuanguka huenda kikawa ni nini??
  • nyumba yake haikujengwa kitaalamu??,
  • Kuta hizo ni za zamani sana kiasi kwamba kusavaivu zilikuwa zinabembelezwa??
  • Ama alikuwa akipita tu maeneo hayo akaangukiwa mkuu???
Mimi mwenzenu napenda kushughulika na chanzo na sio kutafuta nani mchawi, Samahani kama nawaboa jamani.

Nawatakia pole na Mungu amlaze mahala pema peponi, Amen.

hata mie ningependa kujua sababu za ukuta huo kuanguka

RIP masanja
kila mwili utaonja mauti
FL
 
Back
Top Bottom