Mshtuko nimemuona Ex-Wangu anatoka Angaza

Mshtuko nimemuona Ex-Wangu anatoka Angaza

Hata wewe alipokuona alikuwa akikutukana kimoyo moyo kuwa wewe ndiye uliyemuambukiza...
 
Wakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.

Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.

Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.

Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.

Msaada.
Naamini na yeye alikushangaa hivyo hivyo!
 
Anatoka kumsalimia shoga yake walisoma wote, hivi sasa ni muhudumu hapo CTC
 
Wakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.

Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.

Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.

Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.

Msaada.
Maleria inauwa zaidi ya ukimwi......
Pengine kaenda kumsindikiza mtu.....
Na yeye kakuona mazingira hayo, hivyo pengine ana wasiwasi kama wako....
KAPIME UJIRIDHISHE
 
Ha ha ha ha hapo ndio utajua umuhimu wa ile condom ya kwa mangi uliyoikataa siku ya kwanza
 
Wakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.

Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.

Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.

Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.

Msaada.
Pole Mara 2 ,ya kwnza unaomba ushauri wakuongezea zigo la mawazo jamani tusiwe hivyo.ya pili yaliyo kusibu kaka usiofu pengine baada ya kuachana Maya amepata mchumba akawa ameambiwa suala la kupima akaamua kuwahi ili Iwe siri yake kama akikuta+,au kuna kitu alisikia hata kama ni uongo akaamua kwenda kuhakiki,pia we hujui baada yako ni nani aliyekuwa naye au aliye naye akaamua kupima ili kuondoa wsws.na mwisho usifanye ngono ovyo KW kuhofia afya yako unaweza sasa ndio ukaupata kumbe hukua nao,tuliza akili ndio ukapime acha ngono Oa kuwa mwaminifu asante
 
atakua ameenda kupima tu ajijue afya yake yupo kundi gani
 
kama na wewe ulikua unaenda kisiri huko kujipima ,mmekutana,hofu ndio zinazidi kuongezeka,lol......................
 
Kuchepuka raha ukiona katoka angaza unachanganyikiwa katoka kuchuka majibu nawe nenda kapime hapo mkeo yupo nyumbani unamdanganya na stress unazipata kwa michepuko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom