Sikia we kijana. Kuchuna ngozi kavu haimaanishi kuwa lazima umeupata, maambukizi. Yaweza kuwa ndiyo ama siyo.Wakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.
Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.
Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.
Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.
Msaada.
sasa una uhakika gan kama demu ni muathirika?Atulie kwanza kwan anapiga penalty,... Akapime tu, mambukizi yanaongezeka kwa sabab watu hawapimi,..
Njoo nione nitakupima mie na kuongea kwa kirefu kwanza kabla ya kupima unapochelewa ndio unajipa stress nyingi zisizo na msingi wowoteWakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.
Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.
Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.
Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.
Msaada.
Duh kwani hizo zinauzwa?kanunue tu ARV uanze dozi mapema
Mi naomba kujua hiyo style unayotumiaga kuwamwaga ambayo hata mkikutana kupeana salam inakuwa shida. Hii ni nzuri sana mambo ya kukumbushia yanakuwa hakuna hapoWakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.
Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.
Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.
Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.
Msaada.
sasa una uhakika gan kama demu ni muathirika?
nenda kapime ufe mapemaWakuu leo majira ya saa tano Asubuhi nilienda hospitali ya Mnazi Mmoja kwa kumuona Doctor.
Ile natoka nikamuona yule mdada ambaye nilikua naye anatoka Kwenye Mlango wa Ushauri nasaha na Kupima Virusi vya UKIMWI nimeshtushwa sana kwani wote waliokua pale walikua wana afya zilizodhoofu ila yeye mwili wake upo kawaida.
Sikuweza hata kuongea naye style ninayotumiaga tukiachana na Mwanamke huwa ni Ngumu kuongea au Kusalimiana naye tena.
Wakuu yule Dada si Daktari, Nesi, Mshauri wa mambo ya UKIMWI lakini nimemkuta katika mazingira ya Kutatanisha. Je Anatumia dose? Nikapime? au nitulie hadi nitakapoona Dalili.
Msaada.