Mshiriki wa BSS kanikosha sana

Mshiriki wa BSS kanikosha sana

The mgusi

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
221
Reaction score
447
Huyu kijana kutokea kigamboni, ambaye ni mshiriki wa Bango Star Search (BSS) anakipaji sana, yaaani kauimba wimbo huu kwa uhalisia sana pamoja na heshima yake kwa majaji namuombea tu afike mbali.

 
Yuko vyema. Lakini utashangaa wakata viuno na wajanja wajanja ndio wataenda kushinda.
Kama msimu ule alioshindaga yule dogo wa temeke Kayumba sijui walitumia kigezo gani? Wakamuacha yule jamaa wa arusha alikuwa anajua sana.
 
Dogo anajua.

Nasubiri comment za wachawi...
Me nasema ukweli simuoni Kama atafika mbali cos huko mbele washiriki wataambiwa waimbe bila gita hapo ndo dogo atayumba kiukweli kwenye vocal dogo bado Sana maana nimeona washiriki wengine wanavocal kali kuliko bwana mdogo ila kwenye gitaa anajua Sana kulipiga.
 
Inabidi awa BSS kabla hawajaenda mbali wawe wanafanya performance review ya maamuzi yao si ndio hawahawa walimwambia kondeboy hana kipaji ? So usishangae dogo akapotea mapema tu na kipaji chake
 
Inabidi awa BSS kabla hawajaenda mbali wawe wanafanya performance review ya maamuzi yao si ndio hawahawa walimwambia kondeboy hana kipaji ? So usishangae dogo akapotea mapema tu na kipaji chake

Kipindi kile konde boy kweli kipaji alikuwa Hana hata kuongea maneno sahihi alikuwa awezi majaji walikuwa sahihi kumtema. kwenye ile siku wakati anaimba alisema maraika badala ya malaika hata vocal yake ilikuwa ya chini Sana na kipindi kile alikuwa aimbi Kama mond.

Baadae mondi akamshukua wakamuweka WASAFI mwaka 1 mzima bila ya harmo kutoa ngoma kwaajili tu yakumnoa na training ya vocal pamoja na kumfundisha jinsi ya kuperform jukwaani baada ya happy ndo maana ukaona sauti ya harmo ikafanana Sana na diamond kutokana na kukaa nae Sana tokea hapo ndo akawa vizuri.
 
Kipindi kile konde boy kweli kipaji alikuwa Hana hata kuongea maneno sahihi alikuwa awezi majaji walikuwa sahihi kumtema. kwenye ile siku wakati anaimba alisema maraika badala ya malaika hata vocal yake ilikuwa ya chini Sana na kipindi kile alikuwa aimbi Kama mond.

Baadae mondi akamshukua wakamuweka WASAFI mwaka 1 mzima bila ya harmo kutoa ngoma kwaajili tu yakumnoa na training ya vocal pamoja na kumfundisha jinsi ya kuperform jukwaani baada ya happy ndo maana ukaona sauti ya harmo ikafanana Sana na diamond kutokana na kukaa nae Sana tokea hapo ndo akawa vizuri.
Hapana usiseme hakuwa na kipaji,kipaji alikuwa nacho ila alikuwa anahitaji watu wa kumpika ili aweze kuiva na kipaji chake kionekane so wakati anaenda bss alikuwa hana mazoezi ya kutosha,alikuwa hajui hats aimbeje au kwa Sauti yake anatakiwa aimbeje hivi tu but the guy had a talent
 
Yuko vyema. Lakini utashangaa wakata viuno na wajanja wajanja ndio wataenda kushinda.
Kama msimu ule alioshindaga yule dogo wa temeke Kayumba sijui walitumia kigezo gani? Wakamuacha yule jamaa wa arusha alikuwa anajua sana.
Kayumba alitoka mkubwa na wanawe kwa Said fela
 
The mgusi, Dogo anajua sana, sema ndio hivyo bongo hadi utoke ni ishu angalau sasa kaenekana Bss

Sasa afungue account YouTube asisubiri promota, meneja wala nini. Akomae kivyake sisi ulimwengu wote kupitia YouTube tutambeba buree. YouTube ni robot haina majungu wala kudai mshiko ndiyo mkombozi wa kweli.
 
Mziki sio kuigiza wimbo kama ulivyoimbwa,mziki ni kupanda na kushuka kwa sauti yako ndio kutakuwezesha kuonekana kama uko vizuri au la,huyo dogo yuko vizuri sana...
 
Yuko vyema. Lakini utashangaa wakata viuno na wajanja wajanja ndio wataenda kushinda.
Kama msimu ule alioshindaga yule dogo wa temeke Kayumba sijui walitumia kigezo gani? Wakamuacha yule jamaa wa arusha alikuwa anajua sana.
bss nilishaachaga kuangalia baada ya kujua kuwa madam mshirik atakaempenda ndo lazima ashinde. chunguza hilo..

nafikiri wanajutia Sana kumnyima ushindi Nassib fonabo. kutoka arusha..
 
Me nasema ukweli simuoni Kama atafika mbali cos huko mbele washiriki wataambiwa waimbe bila gita hapo ndo dogo atayumba kiukweli kwenye vocal dogo bado Sana maana nimeona washiriki wengine wanavocal kali kuliko bwana mdogo ila kwenye gitaa anajua Sana kulipiga.
lini na nani walimwambia asipige gitaa lake..??

mbona yule fonabo toka mwanzo mpka mwisho wa shindano alikuwa anatumia gitaa lake??

acha uongo..
 
Back
Top Bottom