Mshiriki wa BSS kanikosha sana

Mshiriki wa BSS kanikosha sana

Yuko vyema. Lakini utashangaa wakata viuno na wajanja wajanja ndio wataenda kushinda.
Kama msimu ule alioshindaga yule dogo wa temeke Kayumba sijui walitumia kigezo gani? Wakamuacha yule jamaa wa arusha alikuwa anajua sana.

Kigezo ilikuwa ni mkataba wao na Mkubwa na wanae
 
Dogo kajiamini kwanza kavaa ndala zake tu, kapiga barghashia na bukta nyeusi na tisheti yake kaenda kwenye mashindano, naamini alipofika kakuta watu wametupia pamba kali na viatu yeye hakujali, alienda kupigania kipaji chake kionekane na anaimba kwa hisia sana anaonekana anajua anachofanya
 
Sasa afungue account YouTube asisubiri promota, meneja wala nini. Akomae kivyake sisi ulimwengu wote kupitia YouTube tutambeba buree. YouTube ni robot haina majungu wala kudai mshiko ndiyo mkombozi wa kweli.
Mfungulie asaidike
 
Huyo Nasib Fonabo ametoa wimbo gani au ndio nani kwenye industry ya muziki ili tumjue?Namaanisha anatumia jina gani maana mimi sijawahi kumsikia
bss nilishaachaga kuangalia baada ya kujua kuwa madam mshirik atakaempenda ndo lazima ashinde. chunguza hilo..

nafikiri wanajutia Sana kumnyima ushindi Nassib fonabo. kutoka arusha..
 
ndugu kasikilize wimbo unaitwa kidonda changu alioutoa kabla ya kujiunga huko Wasafi,na pia sikiliza mashair ambayo qchief alitungiwa wimbo na harmonize utajua kama lilikua ni suala la muda tu kwa kijana kutoka kimuziki
Kipindi kile konde boy kweli kipaji alikuwa Hana hata kuongea maneno sahihi alikuwa awezi majaji walikuwa sahihi kumtema. kwenye ile siku wakati anaimba alisema maraika badala ya malaika hata vocal yake ilikuwa ya chini Sana na kipindi kile alikuwa aimbi Kama mond.

Baadae mondi akamshukua wakamuweka WASAFI mwaka 1 mzima bila ya harmo kutoa ngoma kwaajili tu yakumnoa na training ya vocal pamoja na kumfundisha jinsi ya kuperform jukwaani baada ya happy ndo maana ukaona sauti ya harmo ikafanana Sana na diamond kutokana na kukaa nae Sana tokea hapo ndo akawa vizuri.
 
ndugu kasikilize wimbo unaitwa kidonda changu alioutoa kabla ya kujiunga huko Wasafi,na pia sikiliza mashair ambayo qchief alitungiwa wimbo na harmonize utajua kama lilikua ni suala la muda tu kwa kijana kutoka kimuziki
Kwahiyo unanibishia au maana sikuelewi
 
Huyo Nasib Fonabo ametoa wimbo gani au ndio nani kwenye industry ya muziki ili tumjue?Namaanisha anatumia jina gani maana mimi sijawahi kumsikia
ni kwa sababu hufuatilii ndo maana.
fonabo aliingia final na kayumba majaji wakampa ushindi kayumba ila kiukweli talent ilikuwa ni fonabo.
kwanza nyimbo alizoimba fonabo ni balaa zitoo.
wakati kayumba aliimba taarabu siku ya final..
kingine fonabo anapiga gitaa. kayumba hata dumu kupiga hajui..
pia kayumba kabla hajashinda bss Hakuna aliemjua.
alikuwa famous baada ya kushinda. so hata fonabo angeshinda mngemjua. yupo kwao arusha saivi..
 
Kwahiyo unanibishia au maana sikuelewi
wewe ni nani mpaka usibishiwe???

usituletee ungese. jamaa alichosema ni kweli. huo wimbo kidonda changu niliuskiaga kabla hajaenda usafini.. ilirecodiwa na maxmizer wa mazuu rec.

q chilla alipewa mashairi na konde ya kwenye huo wimbo..

usiwe chawa wa wasafi kiasi hicho..
 
wewe ni nani mpaka usibishiwe???

usituletee ungese. jamaa alichosema ni kweli. huo wimbo kidonda changu niliuskiaga kabla hajaenda usafini.. ilirecodiwa na maxmizer wa mazuu rec.

q chilla alipewa mashairi na konde ya kwenye huo wimbo..

usiwe chawa wa wasafi kiasi hicho..
Me nafikiri wewe ujanielewa na mwenzako jamaa kasema harmonize alionewa kutolewa na majaji me nimemwambia harmo akuonewa kuimba alikuwa hajui lakini pia hata utakwaji wa maneno alikuwa anakosea mfano badala ya kusema malaika anasema maraika lakini pia alikuwa ana rafudhi ya makonde.Na kwasasa kufanya kwake vizuri sio kwasababu alionewa na majijaji Bali kusainiwa kwenye label kubwa ya WCB akakaa mwaka mzima bila kutoa ngoma na akawa anafanyiwa training ya vocal ni baada ya mondi kuvutiwa na uwandishi wa harmo na si sauti so mondi akaona sauti inarekebishika.Baada ya training kuisha ndo harmo akaruhusiwa kutoa ngoma hapa sasa sauti yake ikawa nzuri na ikawa inafanana na ya mondi baada ya kukaa nae Sana.Ndo maana utaona tofauti ya sauti wa harmo before ajaingia wasafi na baada yakuingia wasafi.so hoja yangu kuu harmo akuonewa kutolewa na majaji alikuwa ajui kuimba vizuri.
 
Mpigini kura sasa asitolewe kama bado yupo kwenye probation
 
Hivi wewe kwa namna alivyoimba kondeboy BSS ungemchukua?
Wale jamaa wanawafanyia wasanii exposure,alichofanya kondeboy ni kujifua zaidi he has been trained WCB kuliko unavyofikiri.
Mimi naamini with effort kila kitu kinawezekana hatakama una kipaji usipoweka jitihada haufanikiwi
Inabidi awa BSS kabla hawajaenda mbali wawe wanafanya performance review ya maamuzi yao si ndio hawahawa walimwambia kondeboy hana kipaji ? So usishangae dogo akapotea mapema tu na kipaji chake
 
Me nafikiri wewe ujanielewa na mwenzako jamaa kasema harmonize alionewa kutolewa na majaji me nimemwambia harmo akuonewa kuimba alikuwa hajui lakini pia hata utakwaji wa maneno alikuwa anakosea mfano badala ya kusema malaika anasema maraika lakini pia alikuwa ana rafudhi ya makonde.Na kwasasa kufanya kwake vizuri sio kwasababu alionewa na majijaji Bali kusainiwa kwenye label kubwa ya WCB akakaa mwaka mzima bila kutoa ngoma na akawa anafanyiwa training ya vocal ni baada ya mondi kuvutiwa na uwandishi wa harmo na si sauti so mondi akaona sauti inarekebishika.Baada ya training kuisha ndo harmo akaruhusiwa kutoa ngoma hapa sasa sauti yake ikawa nzuri na ikawa inafanana na ya mondi baada ya kukaa nae Sana.Ndo maana utaona tofauti ya sauti wa harmo before ajaingia wasafi na baada yakuingia wasafi.so hoja yangu kuu harmo akuonewa kutolewa na majaji alikuwa ajui kuimba vizuri.
wewe ndo hujaelewa sasa. unaposema alikuwa hajui kuimba kivipi??. kuna wasanii wazuri kwenye kuandika, kuimba kunawashinda.. kuna wengine pia wazuri kuimba, kuandika kunawashinda..!.

so harmo ana kipaji ila wewe mwanzo umesema ooh alikuwa hajui kuongea Mara nini.. sijui.. sasa miaka yote mjini atashindwaje kuongea kiswahili.. unachotaka kusema ni kuwa mondi ndo kamfundisha mpka kuongea..! ni kweli mondi alimuongezea harmo baadhi ya vitu ambavyo hakuwa navyo. ila harmo alishaanza mziki kabla ya wasafi... kubali usiwe mbishi nyau ww.
 
wewe ndo hujaelewa sasa. unaposema alikuwa hajui kuimba kivipi??. kuna wasanii wazuri kwenye kuandika, kuimba kunawashinda.. kuna wengine pia wazuri kuimba, kuandika kunawashinda..!.

so harmo ana kipaji ila wewe mwanzo umesema ooh alikuwa hajui kuongea Mara nini.. sijui.. sasa miaka yote mjini atashindwaje kuongea kiswahili.. unachotaka kusema ni kuwa mondi ndo kamfundisha mpka kuongea..! ni kweli mondi alimuongezea harmo baadhi ya vitu ambavyo hakuwa navyo. ila harmo alishaanza mziki kabla ya wasafi... kubali usiwe mbishi nyau ww.
Hilo suala la harmo kuanza mziki before ya WCB Hilo umelileta wewe na mwenzako Wala kwenye comment yangu sikuligusa Wala sikulipinga nafikiri ulikurupuka kujibu comment yangu hoja yangu ilijikita zaidi kumpinga huyo jamaa yako aliyosema harmonize alionewa na majaji so nikawa namfafanulia vizuri kwamba harmo alitolewa cos alikuwa ajui kuimba vizuri na pia alikuwa ajui kutamka maneno kwa usahihi.Nikaendelea zaidi nikamwambia kufanya kwake vizuri sasa hiv ikiwemo kuimba vizuri kuliko Mara ya kwanza sio kwamba majaji walifanya makosa kwake Bali Kuna mambo yaliyopelekea sasa hiv awe ana imba vizuri pamoja na kuwa maarufu.
 
Back
Top Bottom