Bila kuwachosha,nawakumbusha tu waliokua wanachuana ni charminglady v/s Remmy Kura zilizopigwa kwa ufasaha ni 10,na matokeo ni kama ifuatavyo-
(a) charminglady amepata kura 4 kati ya 10 zilizopigwa
(b) Remmy amepata kura 6 Kati ya kura 10 zilizopigwa
Nachukua nafasi hii kumtangaza rasm Remmy kuwa ndiye mshindi wa Miss chitchat kwa mwezi septembekumbuka miss chitchat wa mwezi augost tunaye miss cacico.Ahsanteni kwa ushirikiano
nafanya utafiti wangu wa kipembeni ila mpaka hapa inabidi nikubali kuwa naona kama kila kitu kilikuwa haki. naona nikibaki kumlaumu charminglady for failing to let us (her fans) know kwamba anashindana. all the same, i'll be back
Sina imani na jopo la majaji.
Where can I appeal?
Shukrani sana muandaaji, Ruhazwe Jr kwa zoezi zima. Sasa niwakati wangu wa kutekeleza ahadi.
pipipiiii.....ooooo...,kidedea!
Sina imani na jopo la majaji.
Where can I appeal?
Kinachonifurahisha katika masuala ya uchaguzi ni kuwa mshindi huwa habagui katika kutimiza ahadi, hivyo natumai kabisa kuwa hutakiuka utaratibu huo.Na kwa kusema hivyo basi nachukua fursa hii nami kukuomba unitimizie ahadi hata kama sikukupigia kura.Na ahadi hiyo ni kama ile uliyomuahidi Nicas Mtei..
Congratulation winer
kaa ukijua charminglady mwenyewe hakujipigia kura,wakili wake hakumpigia kura,anaawala yake C6 hakuonekana kupiga kura,watu walikuwa wanafanya campain za kufa mtu na matokeo ndio hayo.kusanya ushahid uje hapa,ama la uje ukili kama matokeo ni ya kwel na haki
tafadhali rekebisha kauli yako ASAP ndipo tuendelee
Usikate rufaa c.l. Wewe hukutoa ushirikiano kwa fans wako mimi nikiwa mmoja wao. Ni funzo kwako na kwa wengine in the near future to come. Emergine hukujipigia kura ww mwenyewe hasa raundi ya mwisho.
Kinachonifurahisha katika masuala ya uchaguzi ni kuwa mshindi huwa habagui katika kutimiza ahadi, hivyo natumai kabisa kuwa hutakiuka utaratibu huo.Na kwa kusema hivyo basi nachukua fursa hii nami kukuomba unitimizie ahadi hata kama sikukupigia kura.Na ahadi hiyo ni kama ile uliyomuahidi Nicas Mtei..