Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

Elfu sita!! mbona kuna wadada hapa jf tunawapa jero jero tu.

Elfu sita kwani anaenda kufanyiwa operation ya kichwa?
 
Jamani mshikaji analalamika sana kwamba msichana wake a napenda hela sana, eti hela ya saluni tu anataka shilingi elfu Sita (TSHS 6,000).

Tumsadieje huyu jamaa kwenye haya mahusiano?

Achana na! achana na wanawake babangu....elfu sita sio hela kabisa kwa wanawake wa mujini! Urudie ubikira wako uishi kwa amani.
 
Sote ni watanzania bi atoto, we come from humble beginnings. Hatuna sababu ya kuwaona walio na kidogo kuwa hawana haki.

Si uliona kuwa Manga ML ni zaidi? Kumbatia mto sasa...

Ha ha ha mkuu unaniu kiasi hiki na uliniachia kiroho safi?
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnapiga mahesabu ya 6000 kila siku?....kwani anasuka kila siku?
 
elfu sita analalamika???? elfu sita hata lunch haitoshi khaaa si amwambie beibe kua hana hizo hela kuliko kumchoresha!!!

Madame S pole pole basi we si unajua tena mwisho wa mwezi bado,pia jumlisha maisha ya mtanzania elfu sita nitaweza hata kukata tamaa ya kuoa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa elfu6 unalalamika? Mbona mnakua wagumu kuhudumia aise? Afu mkisaidiwa mtanuna tena
 
Pesa katika mapenzi ni kama kachumbali katika pilau. Unaweza ukala pilau bila kachumbari lakini ladha yake itakua tofaut na aliyeweka chachandu.pesa hunogesha penzi lakin sio kila kitu katika mapenzi. Wazungu wana msemo wao: too much of anything is harmful. Keep it constantly in your mind. Kwa hiyo pesa itumike lakin wapenzi wasiangalie sana pesa, mpaka mkasahau dhumuni lenu (mapenzi).
 
Pesa katika mapenzi ni kama kachumbali katika pilau. Unaweza ukala pilau bila kachumbari lakini ladha yake itakua tofaut na aliyeweka chachandu.pesa hunogesha penzi lakin sio kila kitu katika mapenzi. Wazungu wana msemo wao: too much of anything is harmful. Keep it constantly in your mind. Kwa hiyo pesa itumike lakin wapenzi wasiangalie sana pesa, mpaka mkasahau dhumuni lenu (mapenzi).

Na wote tuseme Amen...
 
Dah! Watu wengine wana bahati sana. Mpenzi anataka elfu6 tu dah! wakati wengine kila wiki wanagharamia laki3.
 
Back
Top Bottom