Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

I see, lakini mbona watanzania asilimia fulani wana earn less than 6,000Tsh per day. Mbona nao wanaoana na kulalana kama kawa...

I stand to be corrected, but everyone deserves to love and be loved, regardless of their economic status.

hujakosea wala sijakosea. Hao wanaoingiza 6,000 au pungufu unadhani hawatoi vitu kwa wapi wapenzi wao? kama sichanganyi madesa sijui ni kwenye post hii au ipi lakini leo nimesema swala ni kupata mwenzi anayeridhika na unachompa. KUTOA ni kupenda na kupenda ni kutoa. Kama mtu anaona 6,000 ni kubwa kwa saluni dawa si kulalamika au kumwambia mtu asiende saluni, bali kutafuta anayeenda saluni ya 500 au anayependa kupewa vitu vingine ambavyo si hela au visivyohitaji hela au ajiongeze kuboresha kipato.

Kila mtu anastahili kupenda na kupendwa ndiyo. Manake ni kuwa kila mtu anastahili kutoa na kupokea kama Baba yetu alivyotupenda hata akamtoa mwanawe wa pekee kwa ajili yetu. Na sisi tunatakiwa kumpenda kwa kumrudishia utukufu, heshima, sifa, na shukrani. Hapo kwenye shukrani si shukrani za mdomo tu. Acha uanaharakati kwenye malavidavi. Mkono mtupu haulambwi na pesa ni sabuni ya roho, alisema hata Sulemani.
 
Eee Mungu mpe kila mwanamke shughl ya kumpatia kipato chake asiwe tegemezi. Mimi leo nimetoka saloon kichwani tu 50'000 ningemuomba huyo si angeenda kujinyongaa???
 
I smell u-bongo movie flani hapa. Yaani ninavyochukia mademu wa bongo movie, hata mtu anipe mboo feki sipigi, ng'oo!
 
hujakosea wala sijakosea. Hao wanaoingiza 6,000 au pungufu unadhani hawatoi vitu kwa wapi wapenzi wao? kama sichanganyi madesa sijui ni kwenye post hii au ipi lakini leo nimesema swala ni kupata mwenzi anayeridhika na unachompa. KUTOA ni kupenda na kupenda ni kutoa. Kama mtu anaona 6,000 ni kubwa kwa saluni dawa si kulalamika au kumwambia mtu asiende saluni, bali kutafuta anayeenda saluni ya 500 au anayependa kupewa vitu vingine ambavyo si hela au visivyohitaji hela au ajiongeze kuboresha kipato.

Kila mtu anastahili kupenda na kupendwa ndiyo. Manake ni kuwa kila mtu anastahili kutoa na kupokea kama Baba yetu alivyotupenda hata akamtoa mwanawe wa pekee kwa ajili yetu. Na sisi tunatakiwa kumpenda kwa kumrudishia utukufu, heshima, sifa, na shukrani. Hapo kwenye shukrani si shukrani za mdomo tu. Acha uanaharakati kwenye malavidavi. Mkono mtupu haulambwi na pesa ni sabuni ya roho, alisema hata Sulemani.

Naomba nikuoe NANDERA. Mimi sitalalamika😁😁 hata utake ngapi nitafanya "maarifa" upate raha duniani.
 
Last edited by a moderator:
Yawezekana ni kubwa kulingana na uwezo wake lakini asilalame ampe ukwel halis
 
Yani hiyo hela.hata kuweka steaming haitoshi analalamika khaaa
Mleta mada.huyo mshikaji wako atakua bado ni mtoto mdogo ndo mana anakimbia majukumu
 
Naomba nikuoe NANDERA. Mimi sitalalamika hata utake ngapi nitafanya "maarifa" upate raha duniani.
kama uko tayari kubadili kabila, naam, na uje, lakini kama utaendelea na upare we baki huko huko uliko.
 
kama uko tayari kubadili kabila, naam, na uje, lakini kama utaendelea na upare we baki huko huko uliko.

Ha ha ha ha.... mi sio mpare bwana...Nikubali uone mambo yangu!!
 
Back
Top Bottom