Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
6,000 Tsh. ($ 3 approx.) Takwimu zinaonyesha kuwa bado asilimia fulani ya watanzania wanaishi chini ya $ 1 (2,000 Tsh) kwa siku. Sidhani kama unatakiwa kushangaa hili.
Basi sawa mkuu.
6,000 Tsh. ($ 3 approx.) Takwimu zinaonyesha kuwa bado asilimia fulani ya watanzania wanaishi chini ya $ 1 (2,000 Tsh) kwa siku. Sidhani kama unatakiwa kushangaa hili.
Jamani mshikaji analalamika sana kwamba msichana wake a napenda hela sana, eti hela ya saluni tu anataka shilingi elfu Sita (TSHS 6,000).
Tumsadieje huyu jamaa kwenye haya mahusiano?
Sote ni watanzania bi atoto, we come from humble beginnings. Hatuna sababu ya kuwaona walio na kidogo kuwa hawana haki.
Si uliona kuwa Manga ML ni zaidi? Kumbatia mto sasa...
Teh nilitaka nikumention hivi boss, miss you sana
Teh kufulia tu ndo kumenificha boss anguMiss you too, nani huyo kakuficha?
Teh kufulia tu ndo kumenificha boss angu
Boss si Unajua hela ikiongezeka na matumizi yanaongezeka. Ila nishajipanga vizuri, so next month Ntakula bata tuu. Au unawezapo kuniongezeapo tena ka mshahara tehPamoja na kukupandishia mshahara bado unafulia!! Aisee itabidi nikufundishe na bajeti
Boss si Unajua hela ikiongezeka na matumizi yanaongezeka. Ila nishajipanga vizuri, so next month Ntakula bata tuu. Au unawezapo kuniongezeapo tena ka mshahara teh
Hahahahah basi yaishe boss.Daaaaah!! Sasa hapo inabidi tukuongezeepo na muwezeshaji kwakweli.
Hahahahah basi yaishe boss.
Hehehhehe boss that's the past now, nyota ya jaha imeniangukia, tutaongea vizuri kesho ofisiniTatizo lako una nyota ya wapare sasa buku 6 inakuhusu, na ole wako ulaumu.
Hehehhehe boss that's the past now, nyota ya jaha imeniangukia, tutaongea vizuri kesho ofisini
Utanipa Majibu wewe mwenyewe, just wait nisije nikaropoka bure nikaharibu le surpriseOoooh thats a good news to hear, hayo ndio mambo sasa, sio unajibebesha mzoga ulomshinda fisi unajifanya wewe bingwa.
Hahahaaaa!! Bora kwakweli niwe na kibabu changu, haya maudhi siyapati kabisaaaa, Sasa hela hamna alafu mnataka kupendwa!! Sabuni hamzioni.
utatushauri tutumie sabuni kisa hatuna hela au?
Au, hahahaaaa we unasemaje?
hela sina ila tunasaidiana ndo maana mlitolewa kwenye ubavu wetu.
Tunasaidiana kufanya nini? Sasa kama huna hela utanisaidia nini?