Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

Mshikaji analalamika mpenzi wake anapenda pesa

Nyie mnaodharau elfu sita mnaweza kuzitumia

hiyo elfu sita nikinunua pilipili zote utazimaliza kwa kuzila ?

Chumvi za elfu sita unatumia siku ngapi kuimaliza ?

Kila siku uambiwe ulambe sukari ya elfu sita utakubali ?

6000 X 30 = 180000

180000 X 12 = 2160000

2160000 X 10 = 21600000

Ndio maana watanzania hatuendelei kwa kudharau hela ndogo
 
Nyie mnaodharau elfu sita mnaweza kuzitumia

hiyo elfu sita nikinunua pilipili zote utazimaliza kwa kuzila ?

Chumvi za elfu sita unatumia siku ngapi kuimaliza ?

Kila siku uambiwe ulambe sukari ya elfu sita utakubali ?

6000 X 30 = 180000

180000 X 12 = 2160000

2160000 X 10 = 21600000

Ndio maana watanzania hatuendelei kwa kudharau hela ndogo

Naona aibu hadi nimegeukia pembeni
 
Jamani mshikaji analalamika sana kwamba msichana wake a napenda hela sana, eti hela ya saluni tu anataka shilingi elfu Sita (TSHS 6,000).

Tumsadieje huyu jamaa kwenye haya mahusiano?

msaidie majukumu
 
aachane na mapenzi mpaka atakapokuwa tayari kiakili na kiuchumi. Na kama 6,000 ni nyingi ina maana yuko daraja la chini la kijamii na kiuchumi. Atumie muda wake kujikwamua badala ya kutaka kuzuia mafuriko kwa mkono. Hata mpenzi asipoomba hela ya saluni mapenzi ya mjini bado yanahitaji hela. Sasa wanakutana wapi? kwenye viambaza au chini ya miti? Acheni kulialia bana tafuteni hela. Tatizo wengine wanakulia kwenye zile jamii ambazo ukishabalehe na kuweza kununua kitanda tu unakuwa umefaa kuoa. Unakuta nyumba ina baba, mama, wana, wakamwana na wajukuu. Chai wanakunywa saa 6, usiku wanakula kijipane cha samaki na ugali......... ni shida.
 
Naona aibu hadi nimegeukia pembeni

swali la mwisho kabla hujaona aibu vizuri unajua kazi itakayokupatia elfu sita kwa kanjibahi kariakoo ipoje ?

trip utakazopiga kama unatembea kuelekea uelekeo mmoja utafika chalinze ukitokea dar sio poa

elfu sita ndio kipato cha baadhi ya watu kwa siku hapa tz na watu wanafamilia na maisha yanaenda

mi kama mimi elfu sita ni hela japo haitoshi kwa baadhi ya matumizi
 
aachane na mapenzi mpaka atakapokuwa tayari kiakili na kiuchumi. Na kama 6,000 ni nyingi ina maana yuko daraja la chini la kijamii na kiuchumi. Atumie muda wake kujikwamua badala ya kutaka kuzuia mafuriko kwa mkono. Hata mpenzi asipoomba hela ya saluni mapenzi ya mjini bado yanahitaji hela. Sasa wanakutana wapi? kwenye viambaza au chini ya miti? Acheni kulialia bana tafuteni hela. Tatizo wengine wanakulia kwenye zile jamii ambazo ukishabalehe na kuweza kununua kitanda tu unakuwa umefaa kuoa. Unakuta nyumba ina baba, mama, wana, wakamwana na wajukuu. Chai wanakunywa saa 6, usiku wanakula kijipane cha samaki na ugali......... ni shida.

Usitudharau haya yote ni maisha hatukupenda kuishi hivi
 
swali la mwisho kabla hujaona aibu vizuri unajua kazi itakayokupatia elfu sita kwa kanjibahi kariakoo ipoje ?

trip utakazopiga kama unatembea kuelekea uelekeo mmoja utafika chalinze ukitokea dar sio poa

elfu sita ndio kipato cha baadhi ya watu kwa siku hapa tz na watu wanafamilia na maisha yanaenda

mi kama mimi elfu sita ni hela japo haitoshi kwa baadhi ya matumizi
Ndo ujikune mkono unapofikia na hiyo buku sita
 
ni pm namba ya shemeji yako nitajitolea kuwa nampa hela ya kusuka!
 
Back
Top Bottom