hapa hakuna ndoa ni ndoano, na si vizuri sana kuangalia sexual satistifaction only, how about on the way family? Endapo unataka nao wawe wanaenda kukata viuno stagin sawa lakini endapo unataka
wasome na wawe na heshima kwenye Jamii basi aachane nae unless itakuwa responsibilility ya Mama!
wasome TTCL
Mkuu Geru, uko makini kweli.. unadiliki kumshauri mtu amwache mume wake? No no please.. Kwani nani kakwambia Wakongoman hawawezi kuoa na kutulia? Siyo vizuri kwenye maisha ya kawaida kuanza kuingiza probabilities. Mwache dada wa watu amwoe Mkongo. Kwani kitu gani hakiwezekani katika dunia hii?[/QUOTE
hahahaha
DC hapo kwenye red imekuwa hivyo tena???:confused2:
hahahaha
DC hapo kwenye red imekuwa hivyo tena???:confused2:
Kwani tatizo nini? Ina maana hujawaona wadada waliowaoa wabongo? Nahofia wanaume tusijekuambiwa tuna wivu tu kwa sababu mwenzetu anatesa kibongo bongo kwa kugawa mbegu!!
wala usihofu maana haina mvuto,wivu wa nini
wanaume jamani....yani unahangaika hivyo kisa kumvua mtu gagulo....kazi ipo kwa kweli.
Hata mimi hapo ndio huwa nashangaaga nyamayao yaani yote hayo ya nini kwani lazima, mbona wanawake wapo wengi tu kuna wasiopenda kuchezewa na wanaopenda kuchezewa tena wazuri tu sa c uende kwa hao kwa nini umfuatilie mtoto wa watu utoe mahari then umege umuache
wanaume jamani....yani unahangaika hivyo kisa kumvua mtu gagulo....kazi ipo kwa kweli.
Hata mimi hapo ndio huwa nashangaaga nyamayao yaani yote hayo ya nini kwani lazima, mbona wanawake wapo wengi tu kuna wasiopenda kuchezewa na wanaopenda kuchezewa tena wazuri tu sa c uende kwa hao kwa nini umfuatilie mtoto wa watu utoe mahari then umege umuache
Sasa kama kwa mtu unayesema unampenda hujisikii kufurahishwa na chochote juu yake huwezimweleza hisia zako then how can you even think that you trully love the person???
Mimi nikishaona nina dalili ya kutaka ushauri juu ya uhusiano wangu (kama siwezi zungumza naye) basi naanza kudoubt penzi langu juu yake. Sasa huyu mdada anachotakiwa kufanya ni critically self-analyse herself kuona kama kinachomfanya asifurahishwe na huyo mpenziwe kukaa kwake ni suala la nyumba au ni mapenzi yake mwenyewe.
ahh yan acha dada
sjui ata kwanini unafuga KALABASHA KM ILI..shda unyumba tu ndo uugharamie kwa nguvu ivi?kwa kupoteza rasilimali na mali zako zoooote???ahh jaman ..ina tanzanite??inameremeta?
mweee!!!
kwanza wamelegea legea walaiiiiiiiiini +cream zile bas wanatoa harufu fulan ivi ukimit nae usiku unaweza mwta we hadija........ndyo kwan uwongo ?wakitembea wanatembea km wanataka kucheza shamukware hahah mistak bwana!!!!!!!!
Maty,
Mbona una sahau kanuni rahisi za maumbile? Kama simba angekuwa anapenda mizoga angehangaika nini kuwinda tena katika mazingira hatarishi? Pride ya mwanamume ni kuangusha kitu cha nguvu...financially, urembo etc.