Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Maty,
Mbona una sahau kanuni rahisi za maumbile? Kama simba angekuwa anapenda mizoga angehangaika nini kuwinda tena katika mazingira hatarishi? Pride ya mwanamume ni kuangusha kitu cha nguvu...financially, urembo etc.
halafu ukitoka hapo unakidump me cjaelewa bado