Mshaurini dada yetu jamani

Enny

JF-Expert Member
May 26, 2009
962
130
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa Kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa wazazi wake na kutoa mahari lakini angependa yeye ndio ahamie kwa huyo bwana. Ila tatizo bwana alikuwa na chumba kimoja tu ambacho sasa amewapa wadogo zake wanakaa. Kila akimwambia huyo bwana kuwa hajisikii vizuri yeye kukaa pale huyo bwana anashauri wauze pale walipo na wakajenge sehemu nyingine ambapo ndugu wa mke hawatajua kama ni kwake.

Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.

Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.
 
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa wazazi wake na kutoa mahari lakini angependa yeye ndio ahamie kwa huyo bwana. Ila tatizo bwana alikuwa na chumba kimoja tu ambacho sasa amewapa wadogo zake wanakaa. Kila akimwambia huyo bwana kuwa hajisikii vizuri yeye kukaa pale huyo bwana anashauri wauze pale walipo na wakajenge sehemu nyingine ambapo ndugu wa mke hawatajua kama ni kwake.

Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.

Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.
waendelee kuishi hapohapo hakuan haja ya kuhama
 
asipochafuka atajifunzaje?namaanisha asingekaribishwa hapo asingekuwa hapo sasa,dada na mkongoman watafute chumba,nyumba wakapange,swala la kuuza NO,watafute hela hapo papangishwe then wajenge kwengine upya sio kwa kutumia hela za kuuza nyumba,they should start a fresh.
 
Mfungwa hachagui gereza, huyo kaka hana uwezo wa kuwa hata na nyumb a ya kupanga, iweje leo achague pa kuishi tena nyumba iliyojengwa na mke?? wao kama wako serious waangalie maisha yao wawili na si kuangalia watu watasema nini juu ya ndoa/maisha yao, mbona kuna mengi tu watasemwa?? wajificha wapi na macho ya walimwengu??:heh:
 
She should have know better amekutana na gold digger tena wakongo no joke, the only solution hapo ni huyo dada kuhakikisha whatever she does it is in his name otherwise itakula kwake by the way if i may ask kwani huyu mkongo yeye afanyi kazi duh! ila wakongo mario balaaa aangalie tu maana ni bomu linalosubiri kumlipukia
 
ah ah ah ni kweli nadhani na huyu ni mariooooooooooooooo
She should have know better amekutana na gold digger tena wakongo no joke, the only solution hapo ni huyo dada kuhakikisha whatever she does it is in his name otherwise itakula kwake by the way if i may ask kwani huyu mkongo yeye afanyi kazi duh! ila wakongo mario balaaa aangalie tu maana ni bomu linalosubiri kumlipukia
 
acjerubunika huyo dada, kaam unakaa kwangu jua ni kwangu na ndugu zangu lazima wajue upo kwangu, kama unaona haifai ndugu kujua bac tukapange tuanze moja.
 
acjeununika huyo dada, kaam unakaa kwangu jua ni kwangu na ndugu zangu lazima wajue upo kwangu, kama unaona haifai ndugu kujua bac tukapange tuanze moja.

Huyu mkongomani ina short mimi naona ni mariooo tu according kwa stori aliyotoa Enny huyo bidada awe makini kwenye kufanya maamuzi
 
Hapo there is no love, y mdada ajisikie vibaya bf wake kukaa kwake? Yani dunia ya sasa ni ya kujali kiasi hicho? No way, mdada ajilegeze na amkubali mkaka kama alivyo, kama anahofia ndugu na jamaa kusema mkaka anakaa kwake, ataweza kumridhisha kila mtu. Yakimzidi idea ya kupanga kwengine na kwa mdada kupangishwa iz good but in this world utakimbia mangapi, people are born to say...cheers
 
wew bwana unajua WAKONGO? dahhhhhhhh mama amka simama toka nduki tena usiangalie nyuma
wakongo wakija bongo shost wanakuja kwa kazi iz (nataman ungeniona vidole?kazi mbili tu;
1.music
2.kutumia MTAJ WA BABU
apo pa mtaj wa babu ndo uyo shostito KAMWAJIRI UYO MKONGO na atamchuuuuuuuuuna vya kutosha mpk bdada akifunguka macho ah mkongo zaman sana ashakimbilia na kati ya kinshasa km si ya lumbumbashi....!!!
kitendo tu cha kuhamia kwa bdada apo ni alama tosha ya uyo si MWANAUME KAMILI...mwanaume wa kweli wewe hawez kukubali aonekane kaolewa eti ahamie na beg lake kwako?ehh we uliona wap???? izi pipo za kongo zinazopenda a.ka.a WAKUJICHUBUA kwa KUPENDA KULELEWA weeeeee usiwapimie wao ni kukata viuno na kulelewa baaaaaaaaaas hawana kingne wanapokuwa jukwaani pale wanafanya kaz mbili kuburudisha na kujinadi(WENGI WAO) WANAONYESHA UJUZI pale na mademu wengne ndo ivo tena akicheki bf wake john massawe anampa mchezo nusu wala malav dav hakuna sasa akijifanya ngoja niijaribu i mashine ya KABILA baaaaaaaaas kushnehi wajukuuu wa moseseko wanajituma aooooo wakuvute dah bt mwsho wa siku ni kukuvuta tu we utazan umepata kumbe........ukiingia king unakombwa vyote unabak kun'gara sharubu.....!!!!!!
kuna shost wangu yalimkuta alimkaribisha mkongo akakaa nae akatngazza ndoa ahh kumbe mkongo yupo kikaz zaid akampa nusu mwaka kuna iyo sku bdada anarud hm akakuta kakombwa kila kitu mpk brash la kuoshea vyombo..na alimlagai gali tuandke majina yetu bas kaka akachkukua akafanya magumash bas likawa lake........!!
yan aukimbie uo ni moto utamuunguza si kitambo sana!!!!!
WAKONGO WAMEKUJA KUTAFUTA PESA APA AWAJAJA KUOA UKO KWAO WANAFAMILIA ZAO......if ur real gud samaritan then go ahead!!!!
 
Hapo there is no love, y mdada ajisikie vibaya bf wake kukaa kwake? Yani dunia ya sasa ni ya kujali kiasi hicho? No way, mdada ajilegeze na amkubali mkaka kama alivyo, kama anahofia ndugu na jamaa kusema mkaka anakaa kwake, ataweza kumridhisha kila mtu. Yakimzidi idea ya kupanga kwengine na kwa mdada kupangishwa iz good but in this world utakimbia mangapi, people are born to say...cheers

yote yote ckubaliani na ushauri wa huyu kaka kwamba mdada auze nyumba yake wajenge nyingine, hapo anamtafuna pole pole.
 
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa Kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa wazazi wake na kutoa mahari lakini angependa yeye ndio ahamie kwa huyo bwana. Ila tatizo bwana alikuwa na chumba kimoja tu ambacho sasa amewapa wadogo zake wanakaa. Kila akimwambia huyo bwana kuwa hajisikii vizuri yeye kukaa pale huyo bwana anashauri wauze pale walipo na wakajenge sehemu nyingine ambapo ndugu wa mke hawatajua kama ni kwake.

Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.

Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.

Huu ni ubabaishaji. Haya mambo walitakiwa wayajadili na kukubaliana kabla ya kuishi pamoja - maana inaonekana hata hiyo ndoa bado hawajafunga. Na huyu dada anatakiwa ajue uwezo wa mtu anayemchumbia kuwa hawezi kujenga nyumba. Sasa anataka huyu bwana aibe pesa za kujenga nyumba? Mimi nashauri aendelee kukaa naye tu hapo kwenye nyumba yake ya sasa. Kwani inaonekana hata yeye mwenyewe kimsingi hana matatizo na hilo isipokuwa anaogopa maneno ya watu.
 
Huyo mdada anahitaji kuwa makini sana na huyo mkongo, kwa jinsi ninavyowajua baadhi ya wakongo wanapenda sana kulelewa na hawana manhood! I wish angepata muda wa kumjua zaidi,most of the wakongo wanapenda mwanamke mwenye nacho na wao ni less kujishughulisha zaidi ya usmart wa kuvaa.
 
wew bwana unajua WAKONGO? dahhhhhhhh mama amka simama toka nduki tena usiangalie nyuma
wakongo wakija bongo shost wanakuja kwa kazi iz (nataman ungeniona vidole?kazi mbili tu;
1.music
2.kutumia MTAJ WA BABU
apo pa mtaj wa babu ndo uyo shostito KAMWAJIRI UYO MKONGO na atamchuuuuuuuuuna vya kutosha mpk bdada akifunguka macho ah mkongo zaman sana ashakimbilia na kati ya kinshasa km si ya lumbumbashi....!!!
kitendo tu cha kuhamia kwa bdada apo ni alama tosha ya uyo si MWANAUME KAMILI...mwanaume wa kweli wewe hawez kukubali aonekane kaolewa eti ahamie na beg lake kwako?ehh we uliona wap???? izi pipo za kongo zinazopenda a.ka.a WAKUJICHUBUA kwa KUPENDA KULELEWA weeeeee usiwapimie wao ni kukata viuno na kulelewa baaaaaaaaaas hawana kingne wanapokuwa jukwaani pale wanafanya kaz mbili kuburudisha na kujinadi(WENGI WAO) WANAONYESHA UJUZI pale na mademu wengne ndo ivo tena akicheki bf wake john massawe anampa mchezo nusu wala malav dav hakuna sasa akijifanya ngoja niijaribu i mashine ya KABILA baaaaaaaaas kushnehi wajukuuu wa moseseko wanajituma aooooo wakuvute dah bt mwsho wa siku ni kukuvuta tu we utazan umepata kumbe........ukiingia king unakombwa vyote unabak kun'gara sharubu.....!!!!!!
kuna shost wangu yalimkuta alimkaribisha mkongo akakaa nae akatngazza ndoa ahh kumbe mkongo yupo kikaz zaid akampa nusu mwaka kuna iyo sku bdada anarud hm akakuta kakombwa kila kitu mpk brash la kuoshea vyombo..na alimlagai gali tuandke majina yetu bas kaka akachkukua akafanya magumash bas likawa lake........!!
yan aukimbie uo ni moto utamuunguza si kitambo sana!!!!!
WAKONGO WAMEKUJA KUTAFUTA PESA APA AWAJAJA KUOA UKO KWAO WANAFAMILIA ZAO......if ur real gud samaritan then go ahead!!!!


Rose bwana, mie nikikosa vioja vyako humu cna amani....afadhali umenipatia amani ya kuianza weekend.
 
Hapo there is no love, y mdada ajisikie vibaya bf wake kukaa kwake? Yani dunia ya sasa ni ya kujali kiasi hicho? No way, mdada ajilegeze na amkubali mkaka kama alivyo, kama anahofia ndugu na jamaa kusema mkaka anakaa kwake, ataweza kumridhisha kila mtu. Yakimzidi idea ya kupanga kwengine na kwa mdada kupangishwa iz good but in this world utakimbia mangapi, people are born to say...cheers
pbm ni NECHA YA WAKONGO????
awa watu hawanaga mapenz ya kweli
km ingekuwa mtz ningeelewa kdg lakin kwa stor zooote 100 nilizoskia za awaq wakongo ni kwamba WAMEKUJA KUCHUMA ..wake zao wapo uko katavi!!!!
yan apana jaman kaka apo hakuna mtu ...haaaaaaaa na vinguo vyake kaja navyo????mhh apana hawana mapenz hawa wanacheki pakuendeleza maisha wapate pakulala na mengneyo bt lov mmhmmh mh mh nakataa!
wachek kwanza wenyewew wanavyoish ..wanaish kwa makund makund utakuta geto moja wapo 10 awa wakiamka awa wanalala so akifanikiwa KUNUNULIWA na mdada wa kibongo anashukuru mungu faaaaaasta sana anahamia tena saa ingne bla hata hod....leo kaacha mkanda ,kesho shat na soks,keshokutwa boksa na suruali mtondogoro viatu bas aahh anafanya kubadirisha tu mwshowe beg looote limehamia kwako bdada...ahhhhhhhh hawa binadanu R NOT GUD FOR WOMAN CONSUMPTION.....!!!!!!!
 
Dada/Kaka Enny mwambie huyo shostito wako kuwa hapo alipo yuko kubaya WAKONGO NO NO NO NO! jamaa anatafuta mtu wa kumlea tu hana lolote atakuja juta mwambie aplay her cards well otherwise atakuja lia kilio cha mbwa mwizi.
 
Huu ni ubabaishaji. Haya mambo walitakiwa wayajadili na kukubaliana kabla ya kuishi pamoja - maana inaonekana hata hiyo ndoa bado hawajafunga. Na huyu dada anatakiwa ajue uwezo wa mtu anayemchumbia kuwa hawezi kujenga nyumba. Sasa anataka huyu bwana aibe pesa za kujenga nyumba? Mimi nashauri aendelee kukaa naye tu hapo kwenye nyumba yake ya sasa. Kwani inaonekana hata yeye mwenyewe kimsingi hana matatizo na hilo isipokuwa anaogopa maneno ya watu.

halafu kwanini wachumba wakae pa1? wangesubiri bac ndoa japo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom