Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa Kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa wazazi wake na kutoa mahari lakini angependa yeye ndio ahamie kwa huyo bwana. Ila tatizo bwana alikuwa na chumba kimoja tu ambacho sasa amewapa wadogo zake wanakaa. Kila akimwambia huyo bwana kuwa hajisikii vizuri yeye kukaa pale huyo bwana anashauri wauze pale walipo na wakajenge sehemu nyingine ambapo ndugu wa mke hawatajua kama ni kwake.
Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.
Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.
Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.
Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.