Mshana Witch project

Mshana Witch project

Bro Mshana Jr mimi binafsi huwa na kuelewa sana nikiwa jamii forum bila kuona post yako naona hapaja noga, kizuri zaidi napenda jinsi huwa una tueleza ukweli wa mambo salute ubarikiwe but am looking forward kukutana na wewe siku moja atleast nipige story mbili tatu huwa napenda kuelewa na kujuwa hizi elimu una tupa kila siku
 
Malighafi za mapepo mbalimbali
Pepo la ngono Nyeti za kicheche
Pepo la uvivu konokono
Pepo la kutokuwa na haraka mpaka itumike nguvu Kinyonga
Pepo la uvivu na kupenda kulala Kitimoto na samaki pono
Pepo la kukosa usingizi macho ya kambale
Pepo la kimavi Kinyesi cha bin adamu
Pepo la wizi panya
Pepo la kutotulia na chochote Ngedere

Pamoja na mambo mengine manuizi hufanyika yakitanabaishwa na tabia za mnyama husika ambaye malighafi yake hufunganishwa na kitu chako kama nguo jina nk....
 
Mshana habari za siku tele.. Kuna mwanamke ananipenda Sana Ni mchepuko na ananisaidia Sana kimaisha. Ila nataka nikomleze Tena anipende mazima mazima , najua halikushindi hili
Swali tunalifanikishaje?.
 
Mshana habari za siku tele.. Kuna mwanamke ananipenda Sana Ni mchepuko na ananisaidia Sana kimaisha. Ila nataka nikomleze Tena anipende mazima mazima , najua halikushindi hili
Swali tunalifanikishaje?.
Salama kabisa kaka Mungu anazidi kutupa siha njema na kutuepeshia na mabaya... Huo upendo wa sasa ni natural ukitaka kuharibu ufanyie featuring....urajuta kwakuwa unaweza kupoteza kila kitu
 
Ewe Binti siku nakutongoza halafu unaniambia Mshua wako/Dingi Ako/Baba ako ni Mshana

sure am telling you nakuacha nahairisha kila kitu,nitahesabia nimekukosa na sio fungu langu

sio kwamba wewe utakua na tabia za baba ako,sina shaka na hilo ila sitaki wala kuja kuona

mwanangu anarithi tabia za Babu yake mzaa mama,sitaki kabisaa.Najua wewe huna tatizo

ila mwanangu sina uhakika nae sana usije ukanizalia mtoto ana Chale mpk utosini,staki kbsa.
 
Ewe Binti siku nakutongoza halafu unaniambia Mshua wako/Dingi Ako/Baba ako ni Mshana

sure am telling you nakuacha nahairisha kila kitu,nitahesabia nimekukosa na sio fungu langu

sio kwamba wewe utakua na tabia za baba ako,sina shaka na hilo ila sitaki wala kuja kuona

mwanangu anarithi tabia za Babu yake mzaa mama,sitaki kabisaa.Najua wewe huna tatizo

ila mwanangu sina uhakika nae sana usije ukanizalia mtoto ana Chale mpk utosini,staki kbsa.
ila mwanangu sina uhakika nae sana usije ukanizalia mtoto ana Chale mpk utosini,staki kbsa.
 
Duh.. Hebu hakiki hiyo tarehe tena...!!!
Ok LENGO LANGU niandike 4/11/2020 Sasa pale kwenye mwezi nikaandika 5 nikitikiria mfumo wa masaa 11 inaandikwa 5..tarehe hizo matokeo ya awali tutakuwa tushayajua
 
Ok LENGO LANGU niandike 4/11/2020 Sasa pale kwenye mwezi nikaandika 5 nikitikiria mfumo wa masaa 11 inaandikwa 5..tarehe hizo matokeo ya awali tutakuwa tushayajua
Noted..
 
Walima viazi wamekunyima?
NB;
Mbeya kwenye viazi fuko wa kutosha.
JamiiForums-1191460012.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom