Mshana Witch project

Mshana Witch project

Mganga ni nani? Mchawi ni nani? Mimi kusema kweli ni mshirikina maana nafanya vyote viwili
Nasikia ukiingia kwenye rada ya mshirikina mwenye nguvu zaidi yako anaweza kukutoa uhai... Na inasemwa kwamba wanga hawana mamlaka ya kuutoa uhai wa mtu isipokuwa ni Allah pekee, sasa ikitokea hawa unaowapiga virogo siku wakunase si watakuchuwa msukule ukawafulie nguo?
 
Nasikia ukiingia kwenye rada ya mshirikina mwenye nguvu zaidi yako anaweza kukutoa uhai... Na inasemwa kwamba wanga hawana mamlaka ya kuutoa uhai wa mtu isipokuwa ni Allah pekee, sasa ikitokea hawa unaowapiga virogo siku wakunase si watakuchuwa msukule ukawafulie nguo?
Kila kitu kina level na ranks zake ....usiende kupigana na Tyson kama wewe hujafikia hivyo viwango...
Jeshini kuna ranks
Kwenye ndege kuna levels za anga
Kwenye mamlaka kuna seniority
Kwenye uchawi pia kuna ranks
 
Kila kitu kina level na ranks zake ....usiende kupigana na Tyson kama wewe hujafikia hivyo viwango...
Jeshini kuna ranks
Kwenye ndege kuna levels za anga
Kwenye mamlaka kuna seniority
Kwenye uchawi pia kuna ranks
Naamini na wewe upo kwenye hizo top ranks za ulozi ndiyo maana umeamua uvoluntie kupambana na hiyo miamba ya taifa..
 
Back
Top Bottom