[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Ni mchawi?au?!
ni mwalimu wa ulozi
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Mi nilijua tu huyu mshkaji haelewki na hii picha ataikataa na najua katika dp s yeye ila nasikitika muumini wewe uliwapiga picha wenzako ukaileta tafadhal wataje na hao wengine mnaoabudu wote
Plz
Aisee
Mshana jr ukuje huku
Eeeeeeeh
Yake anayajua mwenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii ni kitu ambacho sikiamini hata kidoogo hapa duniani[emoji16]
Hakuna kitu ka hicho
Toka lini wachawi wakavaa nguo ka za kung-Fuh[emoji16]
Hii imenikumbushia BONGO MOVIE jini limevaa jezi ya ARSENAL[emoji16][emoji16]
Hao ni manchester united wakiwa ibadani. mshana jr yuko Ambangulu muda huu anapigwa tu na Baridi LA milimani