Mshamba ni mtu wa namna gani?

Mshamba ni mtu wa namna gani?

we jamaa wewe, kwa hiyo wewe unaijua na kuikubali elimu ya darasani tu?

Niliyokupa mimi ni elimu ya kitaa a.k.a street education a.k.a informal education.
Upo hapo!
history ya darasani au ?
 
Kishamba ni kijishamba kidogo dogo lakini mshamba ni bonge la shamba kubwa (mshamba wa heka 800)

Kwa maana nyingine mshamba ni mtu anaemiliki shamba lake binafsi na shughuli zake ni za huko huko shamba (eg. mfanyabiashara ni amtu anaemiliki na kufanya biashara)

Pia mshamba ni yule anaeshangaa vitu ambavyo havipo shamba vipo mjini (hajawahi kuviona shambani sababu vinapatikana mjini)
mshamba ni mtu anayemiliki shamba hii inaweza ikaleta ukamili
 
we jamaa wewe, kwa hiyo wewe unaijua na kuikubali elimu ya darasani tu?

Niliyokupa mimi ni elimu ya kitaa a.k.a street education a.k.a informal education.
Upo hapo!
siikubali elimu ya darasani ikiwa nchi yetu ina wasomi lakini still hawawatimizii raia wanachokitaka
 
Mfano wa washamba ni ka wale wa kwenye bongo movie kulazimisha kuongea kingereza na kupiga picha za utupu na kurusha mitandaoni.
 
Ni mpuuzi tu huyu!. ..
Mshamba wa head!!
Anataka ligi wakati njumu hana...
anataka ligi wakati humu toka nijiunge sijawahi kumuona mwanamke kwenye nyuzi za kibabe akijadili jambo huyo aende MMU
 
Mshamba ni mtu anayetokea kwenye makazi yaliyoko maeneo ya mashambani ambapo akifika mjini akianza kushangaa vitu huitwa Mshamba! Lakini mtu anayotoka mtu MJINI akaenda kwa waishio maeneo ya mashambani huitwa Mji.nga
 
Ukizaliwa mjini kwenye choo cha shimo passport size, siku ukifika mjini kwenye choo cha ku flush utakuwa mshamba.
Huyo atakuwa kafananishwa na mshamba kamili toka mikoani lakini sio mshamba.Wadar salaam kiasili sio washamba.
 
Back
Top Bottom