Mshamba ni mtu wa namna gani?

Mshamba ni mtu wa namna gani?

Sasa wewe unachocheka ni nini kama siyo ushamba, mshamba kiazi tu wewe!
"Vibilioni" unavijua?
Ushamba ni janga lingine kwa mshamba kama wewe...
Watu kama nyie ni "mazoba koko shamba
"
....bora kuku maana yeye ikifika jioni hukumbuka anakolala, siyo nyie mliouzwa hamkumbuki hata orijino chadema ilikuwaje.
 
wewe mshamba ni mtupori, yaani aliyetoka kijijin {mashambani} kuliko na uchache wa mambo ya kielimu na ukisasa wa mambo, na vitu ving vya kidhungu kidhungu, ambapo mtupor huyo akifika mjini meng atakayoyakuta ataanza kuyashangaa na haelewi jins ya kuvitumia.

Nb\1.tafuta kamusi ya kiswahili kwa kiswahili
2.Sikiliza wimbo wa prof jay uitwao "Nikusaidiaje"
 
ngoja nicoment ili watiririke nipate kujua huenda hata mimi ni mshamba.
 
Cheki ulivyo mshamba, hata kusoma hujui!! Wapi niliandika "kuku"..?
Wewe ni mshamba zoba koko!!
Basi wewe siyo kuku. Jaribu kufanya hii hisabati: @Freyzem=0/chura, yaani ukitafuta differentiation ya Freyzem unapata zero na chini yake ni chura.
 
Kwa maana ya asili mshamba ni mtu yeyote anaetoka kijijini(wakati huo kijijini palijulikana tu kwa kilimo-mashambani) na kufika mjini(kusiko na mashamba),kwa maana ya kisasa mshamba anaweza kuwa mtu yeyote ambae kwa wakati fulani anaonekana kutojua kitu fulani.
kwhyo mkuu mshamba anatokana na neno shamba/kijijini ?
 
Basi wewe siyo kuku. Jaribu kufanya hii hisabati: @Freyzem=0/chura, yaani ukitafuta differentiation ya Freyzem unapata zero na chini yake ni chura.
Wewe ni mburula!...
Hapo umefafanya hesabu gani?
Differentiation yenyewe huijui!
Hiyo ni differentiation with respect to what? Au umekurupuka na BAM yako uliyopata S? Tena ukome kuiandika I.D yangu hivyo! Hii siyo I.D ya mchezomchezo!
Usiniletee ulumumba uchwara wako,
Chura kampe mmeo alibambie...
Mshamba wa head wewe..
Swine!!
Kama unajua hesabu kweli njoo kivingine we pimbi!
 
Mshamba = Mtu yeyote anayelishangaa jiji (jiji lolote) Iwe barabara,magari,maghorofa, n.k.
Lakini HASIYEJUA KUTUMIA KITU FULANI HUYU SI MSHAMBA.
kwhyo mkuu tunavyoenda posta ni ushamba maana ndo kuna maghorofa mengi
 
Mtu kutoka kijijini anaweza kuwa na limited exposure lakini aimaanishi akishapata experience atabaki vile vile.

Binafsi nachukulia mtu mshamba ni yule anaejifanya anajua asichokijua, awe NY or Dar or Lindi ni mshamba tu.
hapo mkuu unaweza ukawa uko sahihi
 
wewe mshamba ni mtupori, yaani aliyetoka kijijin {mashambani} kuliko na uchache wa mambo ya kielimu na ukisasa wa mambo, na vitu ving vya kidhungu kidhungu, ambapo mtupor huyo akifika mjini meng atakayoyakuta ataanza kuyashangaa na haelewi jins ya kuvitumia.

Nb\1.tafuta kamusi ya kiswahili kwa kiswahili
2.Sikiliza wimbo wa prof jay uitwao "Nikusaidiaje"
mkuu kwhyo aliyezaliwa mjini mbona bado anaitwa mshamba kwanini useme wa kijijini tu
 
Back
Top Bottom