Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,385
duuh wasukuma ndo wakoje bro?Ungenielewa hata usingeandika yote haya..mimi naweza kuwa mshamba machoni pako in case si-meet standards zako za ujanja na wewe vivyo hivyo..sasa kuna collective standards ambazo zinalubalika na majority katika jamii..sasa sijui unataka tubishane nini!? We msukuma nini?