Mshahara wa Mwezi wa 7 kimya

Mshahara wa Mwezi wa 7 kimya

nakubaliana nae kuna mtu ofisini yy crdb serikali kuu mshahara kwake umeshasoma
mshahara now unatoka kwa pamoja mkuu hakuna cha serikali kuu, mashirika ,taasisi wala ualimu wala uko benki gani wote mzigo unaingia kwa pamoja
 
walippata ni crdb tu ss wengne tunaendelea kusubir ofisini crdb wameshapata bado sie wa nmb
sijasema hujapata elewa point yangu...ukiona umepata wewe jua wote walio kwenye payroll mzigo umeingia.
 
Hiyo ni system ya kibenk inavyofanya kazi lakini sio hazina na nikuambie tu ikiwa hivo NMB ndio huwa wanaanza mapema kupata
NMB ndio hukabidhiwa mzigo wote na wao kusambaza kwenye benki zingine. Ndio huja masuala ya kusubiri masaa 48 na mambo kama hayo ndio maana NMB wanakuwa wa kwanza kuingiza.
 
NMB ndio hukabidhiwa mzigo wote na wao kusambaza kwenye benki zingine. Ndio huja masuala ya kusubiri masaa 48 na mambo kama hayo ndio maana NMB wanakuwa wa kwanza kuingiza.
Yap mzee ndio wana mkataba sasa, lakini haiwezi fika masaa 48 malipo ya mshahara ni tofauti sana yakizidi sana ni masaa 6 utofauti
 
Back
Top Bottom