Mshahara wa Mwezi wa 7 kimya

Mshahara wa Mwezi wa 7 kimya

Acha ukilaza endelea kujifunza dogo, ukitukana hovyo unaonekana wewe ndio kilaza. Unafikiri system ya Payroll ina sort out kwenye malipo kwamba hawa wa serikali kuu na walio bank ya CRDB ndio walipwe kwanza?
Mzee imeisha hiyo tupeane ronja tu vipi mzigo umeingia na nyogezo ayo mengine kausheni.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Acha ukilaza endelea kujifunza dogo, ukitukana hovyo unaonekana wewe ndio kilaza. Unafikiri system ya Payroll ina sort out kwenye malipo kwamba hawa wa serikali kuu na walio bank ya CRDB ndio walipwe kwanza?
We jamaa sijui unafanya kazi sehemu gani ambayo ni vilaza kiasi hicho.

Iko hivi, mshahara unaingia siku moja lakini kuingia kwenye akaunti zetu muda unatofautiana kutegemeana na benki. Hizo ni process za kibenki ndio zinatofautiana.

Kama hujui hilo basi wewe ni kilaza zaidi
 
Kampuni/shirika/kwa Mhindi gani huko? Usifikiri nchi nzima watu hawajapata mshahara.
Habari wakurugwa

kulikoni hali mbaya kwa mangi hakuendeki leo tarehe 24 hali tete mshahara kimya
kunani huko jikoni au mpk wiki ijayo?
 
We jamaa sijui unafanya kazi sehemu gani ambayo ni vilaza kiasi hicho.

Iko hivi, mshahara unaingia siku moja lakini kuingia kwenye akaunti zetu muda unatofautiana kutegemeana na benki. Hizo ni process za kibenki ndio zinatofautiana.

Kama hujui hilo basi wewe ni kilaza zaidi
Mzee ngoja nikupe somo yawezekana hujui..stay tuned hapa kama dk kadhaa, Mshahara sio posho mkuu
 
Acha ukilaza endelea kujifunza dogo, ukitukana hovyo unaonekana wewe ndio kilaza. Unafikiri system ya Payroll ina sort out kwenye malipo kwamba hawa wa serikali kuu na walio bank ya CRDB ndio walipwe kwanza?



Wee nawe mbishiiii.....umejibiwa kuna wengine wameshapata, wee unabisha. Sasa ulitaka akwambie bado? au huamini?
 
Mzee ngoja nikupe somo yawezekana hujui..stay tuned hapa kama dk kadhaa, Mshahara sio posho mkuu
Huna jipya mzee.
Kama kuna mtu mko nae hapo kazini alaf mko benki tofauti angalia kama mtapata mshahara kwa muda mmoja.

Crdb inaweza kupata asubuh, nmb wakapata mchana au jioni na wakati mwingine usiku, wale wa Nbc ndio kabisaaa hata kesho yake
 
Wee nawe mbishiiii.....umejibiwa kuna wengine wameshapata, wee unabisha. Sasa ulitaka akwambie bado? au huamini?
mwanamke hebu tulia kwanza. kaa pembeni nisije kukupa makonde ya uso😎😎

muandalie mumeo chai Ebooo

haha
 
Huna jipya mzee.
Kama kuna mtu mko nae hapo kazini alaf mko benki tofauti angalia kama mtapata mshahara kwa muda mmoja.

Crdb inaweza kupata asubuh, nmb wakapata mchana au jioni na wakati mwingine usiku, wale wa Nbc ndio kabisaaa hata kesho yake
Hiyo ni system ya kibenk inavyofanya kazi lakini sio hazina na nikuambie tu ikiwa hivo NMB ndio huwa wanaanza mapema kupata
 
Hiyo ni system ya kibenk inavyofanya kazi lakini sio hazina na nikuambie tu ikiwa hivo NMB ndio huwa wanaanza mapema kupata
Sasa mbona umeanza kukubaliana namimi angalia post # 23
Hapo juu nilikwambia ni taratibu za kibenki ndio zinatofautiana sasa huoni unaeleza mule mule niliposema mimi
 
mwanamke hebu tulia kwanza. kaa pembeni nisije kukupa makonde ya uso😎😎

muandalie mumeo chai

haha


Kuchelewa mshahara siku moja tu ushavurugwa hivyo? ha ha ha ha.....daaaaa....

kwako unafikiri mwanamke kazi yake kumwandalia mwanaume chai tu?

Hivi hujanywa mpaka saa sita kasoro hii? LOL....wenzio tunasubiri tuite cha mchana.
 
mshahara now unatoka kwa pamoja mkuu hakuna cha serikali kuu, mashirika ,taasisi wala ualimu wala uko benki gani wote mzigo unaingia kwa pamoja
Mbona tunakua watumwa sasa kwa kile tulichokifanyia kazi, yani kujua hela imeingia ua lahasha hii dhana ya mfu itakufa lini, kwanini tarehe 23 ikifika watu wote wapate pesa zao, unakuta mwezi huu tare23, mwezi ujao 24,mwezi mwingine tareh 25

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona tunakua watumwa sasa kwa kile tulichokifanyia kazi, yani kujua hela imeingia ua lahasha hii dhana ya mfu itakufa lini, kwanini tarehe 23 ikifika watu wote wapate pesa zao, unakuta mwezi huu tare23, mwezi ujao 24,mwezi mwingine tareh 25

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Dona kantri mkuu hahaha
 
Acha kudai mshahara huku tuko kwenye majonzi mkuu.

Kwanza wewe ni nani unaedai mshahara kama ni Makonda mwezi huu huna mshahara wewe wala Katambi , Kitila Mkumbo na wale wa aina hiyo waliyoikimbia kazi huku hawajapata kazi
 
Back
Top Bottom