New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 176
- 567
Onjeni maisha ya watu wasio na ajira
labda izo taasis nyingne, si tumepokea pesa tkka trh 21mshahara now unatoka kwa pamoja mkuu hakuna cha serikali kuu, mashirika ,taasisi wala ualimu wala uko benki gani wote mzigo unaingia kwa pamoja
Kama sisi kwny taasis yetu wanaanza kupata Nmb kwanza, tena kama wakianza kuingiziwa saa 7 mchana ujue mabank mengine ni jioni au kesho kabisaHuna jipya mzee.
Kama kuna mtu mko nae hapo kazini alaf mko benki tofauti angalia kama mtapata mshahara kwa muda mmoja.
Crdb inaweza kupata asubuh, nmb wakapata mchana au jioni na wakati mwingine usiku, wale wa Nbc ndio kabisaaa hata kesho yake![]()
Ushatoka na kuisha,watu washaanza kuzisumbua benk kuomba salary advance.Inaitwa utumwa wa mshahara.Kama umetoka ni jambo jema...
Hii kitu salary advance mabenki wanaingiza mpunga kinoma,mishahara ya watumishi kiduchu mno,wiki tu watu juu ya mawe...Ushatoka na kuisha,watu washaanza kuzisumbua benk kuomba salary advance.Inaitwa utumwa wa mshahara.
Tupo wengi sana.Hivi kuna watu bado wanaishi kwa kuajiriwa? Like seriously
Mabadiliko yapo mkuu kaa kwa kutuliaVipi kuna mabadiriko yoyote mzee
Hujanijibu swaliPay as u earn kuna percent ya mshahara inakatwa na serikali depend na unachokipataaa..

nasema kuna ongozekeo la mshahara badaa ya kupunguza kodi, wametumia formula gani I mean rate ya PAYE wameshusha kwa kiasi gani cha asilimiaMe mwenyewe sielewi tu najionea hebu toeni ufafanuzi hapaHujanijibu swalinasema kuna ongozekeo la mshahara badaa ya kupunguza kodi, wametumia formula gani I mean rate ya PAYE wameshusha kwa kiasi gani cha asilimia
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Ndio, wapo wanaoishi kwa kuajiriwa na mpo nyie mnaoishi kwa kudanga, unachukua nauli ya danga halafu hukwenda kumpa papuchi!!!Hivi kuna watu bado wanaishi kwa kuajiriwa? Like seriously
Wewe mwenyewe ni jobless na uliomba kazi ATCL last year ukapigwa chini.Hivi kuna watu bado wanaishi kwa kuajiriwa? Like seriously
Achana nae jobless huyuAcha upumbavu.
mbona wewe ulienda kuomba kazi za ea hostess ( in JPM voice) pale ATCL na ukatoswa, Ulikuwa unataka nini kama sio kuajiriwa?
Habari wakurungwa
Kulikoni hali mbaya kwa mangi hakuendeki leo tarehe 24 hali tete mshahara kimya kunani huko jikoni au mpaka wiki ijayo?
Sheria inasemaje mtumishi wa uma kujihusisha na siasa?Serikali ovyo sana hii...
Mtu hapewi mshara wake sababu tu nimwalimu aliyechukua fomu kutia nia kugombea.
Wajinga sana hawa.
Utumishi wake unakoma akiteuliwa kuwa mgombeaSheria inasemaje mtumishi wa uma kujihusisha na siasa?
Ingia TRA Calculator, utaipata PAYE Calculator