Kwa hiyo Pinda aiwadanganya wahadhiri wa UDOM? UDOMASA. Alisema majina yaende hazina na chap chap yakaguliwe ili hela zao zitoke. Au wa UDOM tu ndio watakaopata?Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete
duuuuh watu kwa uzushi...pesa ipo acheni uwoga. @treasury
Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete
Iko wapi? Kama wamefikia hatua ya kuomba oc zilizokuwa zimegawiwa mwezi uliopita eti zote zirudishwe hazina kuna dharura!...pesa ipo acheni uwoga. @treasury
...pesa ipo acheni uwoga. @treasury
Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete
ndio maana napenda kuwa mjasiriamali.
Sitafanya operation yoyote kama nitaambiwa upuuzi huo!!