Mweusi Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 332
- 322
MOD nyuzi za hivi kila mwezi ni kupandishana mapigo ya moyo ru.
Nashauri mzifute tu,kila mtu apambane na akili yake.
Serikali ilishasema wote tarehe yetu ni moja,ukiona wewe bado basi usiendelee kumaliza salio la bank kwa SIM BANKING.
Unadhani wote tuna SIM Banking?