Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,652
utajua tyu"Aujasoma" hivi na wewe ni mtumishi?au ni wale wa Bashite kupost mitandaoni?
utajua tyu"Aujasoma" hivi na wewe ni mtumishi?au ni wale wa Bashite kupost mitandaoni?
Kama wewe si mtanzania vileWatanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana
Ndoto za alinachandio.tgsd 80,000/=
Badilisha title mshahara tayari NMBKwa public servants..Kuna yeyote aliyenusa tayari mshahara wa mwezi huu. ???
Hapa unatudanganyaa..ndio.tgsd 80,000/=
Hamna kitu!tayar ,hakuna ongezeko
CRDB vipi maana wana tuchelewesheagaBadilisha title mshahara tayari NMB
Hahaa hataree sanaMpunga umetema saa nane na dakika zake but increament naona zinajenga ukuta simanjiro..
Subiri keshoBila bila NMB
Katiba Mpya ndo italipa mishahara kabla ya wakati?
Unapata ufahari gan kusema uongo?Mshahara tayari lakini ni uleule hakuna mabadiliko
Unapata ufahari gan kusema uongo?