kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
UnatoshaMshahara wa September umetoka leo September 22. Hakuna Nyongeza wala mabadiliko. Inasoma kama mwanzo.
UnatoshaMshahara wa September umetoka leo September 22. Hakuna Nyongeza wala mabadiliko. Inasoma kama mwanzo.
Mshahara mbona teari
Enzi za jk hadi nyau wangeandamana.
Naongelea nyongeza **** lako mbichi katombwe ulaleLini uliona watu tumeandama kisa mshahara? Mshahara wa July 2013 tuliupokea tarehe 18 Agosti ulisikia kelele zozote? Mk.ndu wako k.ma ww! Kazi yenu kusifia ujinga tu.
Amani iwe nanyi, kwa wenzetu mlioajiriwa vipi mwezi huu kuna increments kwenye mishahara yenu? Maana sisi wachuuzi wa bidhaa huku mitaani hali sio nzuri tunawategemea nyinyi mkipata na sisi tumepata: maana nasikia ule uhakiki wa miaka miwili umekwisha. Kazi njema
Nina mzigo muda mrefu hauuziki nikiuza kidogo nanunua kilo ya unga na dagaa nahisi kwa mwendo huu mzigo ukiisha ntakosa mtajiUnaulizia increment ili uwapandishie kodi?
hamna kituAmani iwe nanyi, kwa wenzetu mlioajiriwa vipi mwezi huu kuna increments kwenye mishahara yenu? Maana sisi wachuuzi wa bidhaa huku mitaani hali sio nzuri tunawategemea nyinyi mkipata na sisi tumepata: maana nasikia ule uhakiki wa miaka miwili umekwisha. Kazi njema
Ulishiriki kutoa msemo dstv au umekopi mkuu?Vyuma vimekaza