Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,652
NMB Tayari week end njema
kimya kimya check NMB Mobile *150*66#Tayari,mbina wanatuma sms siku hizi?
akili mbovuTayari mkuu mi weekend yangu leo ntakua elements masaki kalibuni wadau japo tupooze machungu
Kila mtu ana mipango yake na pesa yake mkuu kwangu mimi bia mbili tatu ndio priority yangu maisha yenyewe mafupi hayaakili mbovu
okyKila mtu ana mipango yake na pesa yake mkuu kwangu mimi bia mbili tatu ndio priority yangu maisha yenyewe mafupi haya
kwetu wa DAR TU,MIKOANI BADONi kweli mshahara umetoka?
Shida ya kukariri mkuu. Anyway CRDB tayariUkipata Mshahara leo tarehe 22/9 halafu mwingine ukapata 22/10 sio mwezi tayari?
Njoo pm,tuongeeKila mtu ana mipango yake na pesa yake mkuu kwangu mimi bia mbili tatu ndio priority yangu maisha yenyewe mafupi haya
Vyeti ulipona?nitakukatia rufaateari
Njoo ELEMENTS mkuu kumebamba hatariNjoo pm,tuongee
Bado uhakiki unaendelea , we vipi mbona hauelewi? Nadhani uhakiki utaisha 2019, halafu huo mwaka mshahara utaongezeka na pia 2020! Sasa usianze kujiuliza ni kwa nini mshahara uongezeke karibu na mwaka wa uchaguzi? Jibu umeshapewa ni kuwa hapo ndo uhakiki utakuwa umekwisha, na hakuna tena wafanyakazi hewa. Kuwa karibu na uchaguzi ni coincedence tu!Nipo na payroll hapa no increment means no mabadiliko
Kwa public servants..Kuna yeyote aliyenusa tayari mshahara wa mwezi huu. ??? Wale wenye akaunti Boa bank access bank tangu jana imesoma
Ulipeleka vyetiMbona wengne bdo