Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Mtakula weekend na papa wakati ATM zina mimba
 
Mkulu alisema 21 kitu ndani ila Sikh hizi goma linagonga hadi 27
 
wanafunzi wapo nyumbani.uwepo wa shule za kutwa ni majanga !!
 
Wadau Habari za Muda huu.....Naomba mnijuze Wadau mishahara ya mwezi April imeshatoka au bado kwa yoyote mwenye Kujua anijuze......,,
"Acha ushamba. Unatuhusu nini?! Waswahili bwana!! Aya basi tumefamu nawewe upo kwenye pay roll.
 
Wadau Habari za Muda huu.....Naomba mnijuze Wadau mishahara ya mwezi April imeshatoka au bado kwa yoyote mwenye Kujua anijuze......,,


Huna akili.Kachambe ulale. Unafikiri wote wameajiriwa.Pumbavu sana.
 
Mbona mtaani kimnya nadhani bado kuweni na subra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom