Mshahara wa Mwalimu wa Sekondari

Mshahara wa Mwalimu wa Sekondari

Hoja sio kiwango cha mshahara, hoja hapa ni daraja la mshahara.

Watanzania tunapenda kufake sana maisha, eti ni mateso wakat hayo unayoita mateso ndo watu wanatamani kila siku walau wapate tu hiyo ajira.
ndio,watu wa sheria na masomo ya sayansi,sasa hiyo Tgs E ni sawa na laki 8 na,sasa huo nao ni mshahara au mateso
 
Hoja sio kiwango cha mshahara, hoja hapa ni daraja la mshahara.

Watanzania tunapenda kufake sana maisha, eti ni mateso wakat hayo unayoita mateso ndo watu wanatamani kila siku walau wapate tu hiyo ajira.
viwango vya mishahara halmashauri vipo chini sana mkuu
 
Sio tu halmashauri, serikali za mitaa nzima ni vile vile.

BTW, mimi sijakataa kuwa hakiko chini, nachoongelea hapa ni kile mtu anaita huo mshahara ambao wengine wanaulilia kuwa ni mateso.
viwango vya mishahara halmashauri vipo chini sana mkuu
 
ndio,watu wa sheria na masomo ya sayansi,sasa hiyo Tgs E ni sawa na laki 8 na,sasa huo nao ni mshahara au mateso
E ni 900k
Ila unajua kuna watu serikalini nasikia wanaanza na Milioni2.7 sijui ni kweli
 
E ni 900k
Ila unajua kuna watu serikalini nasikia wanaanza na Milioni2.7 sijui ni kweli
Kawaida hiyo 2.7 kwenye mashirika na Mamlaka za Serikali kuu mwalimu hapo unaonekana kama Dereva😁😁
 
Milioni 2.7, posho ya nyumba 500,000/-, usafiri 300,000/-, umeme na maji 200,000/-
Jumla milioni 3.7
Aaaaaa wapi wasingeongoza kujiandikisha kwa mpemba, mangi na mgosi
 
Kawaida hiyo 2.7 kwenye mashirika na Mamlaka za Serikali kuu mwalimu hapo unaonekana kama Dereva😁😁
Yaani degree 2.7? Yaani huo mshahara hata assistant lecturer wa arts na biashara haanzi nao.
 
Tutalalamika sana na kulaumu sana; ila ni kweli hadhi ya taaluma ya elimu ipo chini, kuanzia maslahi mpaka heshima kwa jamii.

Na hii inasababisha na maslahi, mtu hueshimika kwa mujibu wa hali ya ushawishi wake kiuchumi
 
Back
Top Bottom