Mshahara wa Mwalimu wa Sekondari

Hoja sio kiwango cha mshahara, hoja hapa ni daraja la mshahara.

Watanzania tunapenda kufake sana maisha, eti ni mateso wakat hayo unayoita mateso ndo watu wanatamani kila siku walau wapate tu hiyo ajira.
viwango vya mishahara halmashauri vipo chini sana mkuu
 
Sio tu halmashauri, serikali za mitaa nzima ni vile vile.

BTW, mimi sijakataa kuwa hakiko chini, nachoongelea hapa ni kile mtu anaita huo mshahara ambao wengine wanaulilia kuwa ni mateso.
viwango vya mishahara halmashauri vipo chini sana mkuu
 
Kawaida hiyo 2.7 kwenye mashirika na Mamlaka za Serikali kuu mwalimu hapo unaonekana kama Dereva😁😁
Yaani degree 2.7? Yaani huo mshahara hata assistant lecturer wa arts na biashara haanzi nao.
 
Tutalalamika sana na kulaumu sana; ila ni kweli hadhi ya taaluma ya elimu ipo chini, kuanzia maslahi mpaka heshima kwa jamii.

Na hii inasababisha na maslahi, mtu hueshimika kwa mujibu wa hali ya ushawishi wake kiuchumi
 
Back
Top Bottom