Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,249
- 5,312
I concur. Ahsante. Kumbe walimu wanakula maisha kimtindo.Diploma=TGTS C = 535,000/=
Degree = TGTS D = 716,000/=
Baada ya miaka 4, Huyo wa C atapanda D na D atapanda E = 940,000/=
Wataendelea kupanda hadi mwisho TGTS H.
Bila shaka nimejibu.