abdul_eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 761
Mi nahisia tuu hapa....!! Lakini tuchanganue kiukweli kabisa maaana mengi tunafichwa tuu...
ANAKAMATA MILL >15.5M
Anatudanganya anayo mill 25 benki wakati mshahara wa waziri mkuu ni mil 3.5 posho zake kama mill5 jumla 8.5. Halafu anatia kibindoni mill 7 za ubunge jumla 15.5 halafu eti aseme yee mtoto wa mkulima... Upuuzi mtupu
ANAKAMATA MILL >15.5M
Anatudanganya anayo mill 25 benki wakati mshahara wa waziri mkuu ni mil 3.5 posho zake kama mill5 jumla 8.5. Halafu anatia kibindoni mill 7 za ubunge jumla 15.5 halafu eti aseme yee mtoto wa mkulima... Upuuzi mtupu