Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,717
- 7,325
NMB tayariNMB bado
NMB tayariNMB bado
Mefurahi kaburi 😊!
Mshahara ni haki yake, Lazima apewe ndani ya muda, Namna nyingine zisifanye mshahara uchelewe.Huwa nawashangaa sana watumishi wa umma wa aina yako hivi kweli hamna namna nyingine ya kuishi nje ya mshahara kiasi kwamba mshahara ukichelewa siku moja tuu mayowe nchi nzima
🤣🤣🤣Mshahara ushaisha. Sasa Salary Advance.