Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,290
- 6,758
Ewaaaaaaaa! Mzigo umezama
Sisi wengine bado tunapiga miayoEwaaaaaaaa! Mzigo umezama
Nasikia kwa wajeda imeshasomaWakuu vipi kumesoma huko
Mtakua wa halmashauri nyieSisi wengine bado tunapiga miayo
Nyie tra tayari?Mtakua wa halmashauri nyie
Sie ni wale wa tarehe 40 mkuuNyie tra tayari?
Gavoo?Sie ni wale wa tarehe 40 mkuu
Watuingizie kwanza ile ya siku zote hafu ya madaraja itakuja.Huu mwezi itachelewa kwaajili ya madaraja.... wale wa madaraja mapya wanaula. Vuteni subira!
Kungekuwa na madaraja tungekwisha sikia maana halmashauri zetu huwa hazina Siri, sasa hivi tofauti na documents walizokusanya pako kimya sana.Huu mwezi itachelewa kwaajili ya madaraja.... wale wa madaraja mapya wanaula. Vuteni subira!
Madaraja yanalipwa mwezi huu na JuneKungekuwa na madaraja tungekwisha sikia maana halmashauri zetu huwa hazina Siri, sasa hivi tofauti na documents walizokusanya pako kimya sana.
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Huwa nawashangaa sana watumishi wa umma wa aina yako hivi kweli hamna namna nyingine ya kuishi nje ya mshahara kiasi kwamba mshahara ukichelewa siku moja tuu mayowe nchi nzimaVipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Tukalewe juma tatu hatuna nauli😃Mama kacheka tayari kazi kwenu..
Mbona toka saa nane usiku mkuu!VP tayari ?
Vipi, kuna aliyepanda daraja?Mbona toka saa nane usiku mkuu!
Ila we jamaa huwa unachekesha sana😂😂😂VP tayari ?