Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,397
- 19,328
Nitajie taasisi moja ambayo mshahara wa kuanzia diploma ni zaidi ya laki7 na 60 ... UsiwadanganyeZiko taasisi diploma wanalipwa 1.5mil. Na ni taasis za serikali.
Nitajie taasisi moja ambayo mshahara wa kuanzia diploma ni zaidi ya laki7 na 60 ... UsiwadanganyeZiko taasisi diploma wanalipwa 1.5mil. Na ni taasis za serikali.
Mbinguni utapasikia tu ... Acha uongo asee ....kuna taasisi za serikali wanaanza na 1,800,000/- halafu posho 10%
Unajua kuwa 1.4M ni mara mbili ya 700k?Mbona ndogo pia hiyo mzeebaki ulipo tu kwenye 700k hiyo.
Zipo nyingi mkuu! Hizo scale za tgs mostly zipo local government ila watumish weng ambao wapo chin ya central government wanalipwa zaid ya hyo laki saba kwa diploma mfano Dawasa, Tarura, Tanesco na soon RuwasaNitajie taasisi moja ambayo mshahara wa kuanzia diploma ni zaidi ya laki7 na 60 ... Usiwadanganye
TANAPA. Wenye diplona wanalipwa 1.5 TNPSS C1. Chukua details uone kama nakudanganya.Nitajie taasisi moja ambayo mshahara wa kuanzia diploma ni zaidi ya laki7 na 60 ... Usiwadanganye
Sio uongo . Ww kama umekaa serikali muda mrefu. Taasis zote hazina mishaara sawa. Wengine walaipwa juu zaidi. Ita depend na taasisiMbinguni utapasikia tu ... Acha uongo asee ....
Roho mbaya haijengiMbona ndogo pia hiyo mzee😂 baki ulipo tu kwenye 700k hiyo.
Anajipa moyo huyo bwegeWeeeee ...degreee anaanza na tgs d 769,000 ... Diploma ni tgs c ..labda diploma ya idara ya afya ndio equals to degreee other disciplines
kaulizie Tra,msd,BoT,EGa,tpdc wanalipwaje tafuta mtu anayefanya Nazi hukoMbinguni utapasikia tu ... Acha uongo asee ....
acha kujazana ujinga dogoSio kweli kuna Taasisi za Serikali watu wanapokea 1.4m hadi 1.7m per month.
mimi nipo kwenye moja ya hizo taasisi, narudia tena acha kujaza watu ujinga.kaulizie Tra,msd,BoT,EGa,tpdc wanalipwaje tafuta mtu anayefanya Nazi huko
Mi mbona diploma holder salary 1.7M.Chapa kazi, mishahara ya diploma haitoboagi laki 7
Mi nashangaa kipi wanaona cha ajabu tatizo wengi wamekalili kila mtumishi anafanya Halmashauri na Serikali Kuu😂.Mi mbona diploma holder salary 1.7M.
Nimetuma salary slip angalia hapo acha kupanick boss.acha kujazana ujinga dogo
Kwani nasema uongo ndugu zangu🤗Mi nashangaa kipi wanaona cha ajabu tatizo wengi wamekalili kila mtumishi anafanya Halmashauri na Serikali Kuu😂.

Mbona ni vitu vya kawaida tu hivi Mkuu
View attachment 1659249
Mtoto wa nzi Siongei nisichokifahamu.
Sio Tanesco hii Boss😂😂😂Wew kama ufanyi kazi Tanesco sijui?!
Ni prove wrong Mkuu![]()
Sio Tanesco hii Boss
Mimi jobless tu ila nilikuwa nawaonyesha ma Boss wa JF wanaona ni kitu cha ajabu Dip holder kupokea 1.6m
wewe haupo kwenye taasisi yoyote kati ya nilizozitaja unachotafuta in justification, hata Mimi naweza Sena nipo taasisi Fulani kusema no rahisimimi nipo kwenye moja ya hizo taasisi, narudia tena acha kujaza watu ujinga.