Mshahara wa diploma ya IT ni TGS ngapi?

Mshahara wa diploma ya IT ni TGS ngapi?

-kuna taasisi za serikali degree holder anaanza na 2,340,000/-
-kama degree holder anaanza na 2.34M diploma holder kuanza na 1,800,000/- sio ajabu.
Taasisi ipi hio? Haina jina?
 
Watu wanajiropokea tu, degree mwenyewe halipwi 1.4M we diploma upewe hio kama nani? Mishahara ya hivyo labda TANAPA naweza kubali ila sio taasisi nyenginezo. Au labda NGO kwa mzungu
-tofauti ya mshahara serikalini ni kubwa sana
 
tanesco certificate anaweza fikisha zaidi ya 2M kama yupo transmissions ukijumlisha safari na safari haziishi ni kila mwezi
Tanesco kwa watu wa Diploma ya ufundi take home iko 1.7M to 1.8M kwa mtu ambaye yuko shirikani zaidi ya miaka 10,huyo wa certicate kula 2M sio kweli
 
Tanesco kwa watu wa Diploma ya ufundi take home iko 1.7M to 1.8M kwa mtu ambaye yuko shirikani zaidi ya miaka 10,huyo wa certicate kula 2M sio kweli

Milioni 2 kwa cerificate hahahahahahahahahahahahahaha,
 
Tanesco kwa watu wa Diploma ya ufundi take home iko 1.7M to 1.8M kwa mtu ambaye yuko shirikani zaidi ya miaka 10,huyo wa certicate kula 2M sio kweli
naongea kitu nakifahamu vizuri na nimesema kama yupo transmissions tena ni zaidi hiyo 2M
 
wewe haupo kwenye taasisi yoyote kati ya nilizozitaja unachotafuta in justification, hata Mimi naweza Sena nipo taasisi Fulani kusema no rahisi
ngoja nikupm salary slip ili uCHE SHOBO
 
Duh Duh Duh..

Nimefanya Intern pale Tanesco gas plant 1, baadhi ya wafanyakazi wakawa wanadai mpunga wao haufiki 1M na wanamuda mrefu kazini
ni kweli sio wafanyakazi wote but waliopo transmissions ni maradufu na ni kwa ajili ya safari
 
Basi ukiona Mechanical Transfer za Tanesco tujuzane mzee kwa PM
lakin ujiandae kwa mionzi maana ni wenye kulipwa hizo ni wa zile tower na umeme unakuwa live na huwa kuna adhari baadaye according to mambo yalionwa
 
wewe haupo kwenye taasisi yoyote kati ya nilizozitaja unachotafuta in justification, hata Mimi naweza Sena nipo taasisi Fulani kusema no rahisi
nimekutumia slip ili uache ku spread missinformation
 
-kuna taasisi za serikali degree holder anaanza na 2,340,000/-
-kama degree holder anaanza na 2.34M diploma holder kuanza na 1,800,000/- sio ajabu.
Uko sahihi sana.
Tena umetaja exactly figures

Kweli utakuwa unafanya kazi taasisi hii..!
Saveya
 
Back
Top Bottom