Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,476
- 16,188
Kabisa yaani.....Uongo mtupu
Kabisa yaani.....Uongo mtupu
Pia huo mshahara hauguswi boss kuna Safari bila kusahau,ni ngumu mtu uka expose hapa hivyo vitu mkuu ila jua kuna watu wanaishi maisha hayo Kwenye hizo Taasisi za Umma sizungumzii mimi Serikali kuu,Au wizarani maana humo ni kawaida tu take your time fatilia.Taasisi zipi hizo??
Hahahah ndoto za Ali Nachakuna taasisi za serikali wanaanza na 1,800,000/- halafu posho 10%
mkuu mimi sishangai kwani ega bachelor IT anaanza 2.61MHahahah ndoto za Ali Nacha
bishaHahahah ndoto za Ali Nacha
tanesco certificate anaweza fikisha zaidi ya 2M kama yupo transmissions ukijumlisha safari na safari haziishi ni kila mweziofisi zinazolipa hivyo ni 3/100 offices.
Lakini hapa tunazungumzia mshahara, safari sio kitu constanttanesco certificate anaweza fikisha zaidi ya 2M kama yupo transmissions ukijumlisha safari na safari haziishi ni kila mwezi
huko safari ni costant hazikatiki labda uache mwenyeweLakini hapa tunazungumzia mshahara, safari sio kitu constant
Na ile mitusi wanayotukana ndii wanalipwa 2M wale?tanesco certificate anaweza fikisha zaidi ya 2M kama yupo transmissions ukijumlisha safari na safari haziishi ni kila mwezi
AISE HIYO 1.5 MILLION KWA DIPLOMA YA IT ?Ziko taasisi diploma wanalipwa 1.5mil. Na ni taasis za serikali.
Safi sana kwa jibu lako zur shukranKama umemwelewa vzr, ni kwamba salary scale yake ni TGS maana yake ni serikali kuu, siyo taasisi yenye salary scale yake.
Kwa hiyo basi TGS zote zipo na kiwango sawa kinatofautiana kwenye TGTS (Elimu) na TGHS (Afya).
Kwa case ya TGS kwa Diploma unaanza na kitu kama 525,000 kwa kada nyingine kwa kada ya IT mmnekuwa treated tofauti nadhani utaanza na 710,000.
Yap. Na ni taasisi maarufu kabisa. Iko wizara nyeti ambar waxir wake ndio yule alitumbuliwa juziAISE HIYO 1.5 MILLION KWA DIPLOMA YA IT ?
Tgs cTunapandisha Mizuka kwanza
Weeeee ...degreee anaanza na tgs d 769,000 ... Diploma ni tgs c ..labda diploma ya idara ya afya ndio equals to degreee other disciplinesChapa kazi, mishahara ya diploma haitoboagi laki 7