Mshahara wa Balozi wa Tanzania

Mshahara wa Balozi wa Tanzania

Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Nijuavyo ni kuwa mishahara ya mabalozi ni sawa na wanalipwa kwa T-shillings. Mishahara yao wanaingiziwa kwenye accounts zao hapa hapa nyumbani.

Huwa hulipwa allowance kwa dollars. Hizo hutumiwa huko walipo na viwango hutofautiana kutegemeana na nchi aliyopo Balozi. Mfano allowance atakayokuwa anapata balozi wetu aliyeko Japan haiwezi kufanana na balozi wetu aliyeko Kenya.

Kila kituo kina angaliwa/pimwa kutokana na uhalisia na hali ya kimaisha iliyopo kwenye kituo husika.

Wafanyakazi wote wa balozi zote wanalipwa mishahara yao kwa pesa za Kitanzani. Na hiyo hulipwa hukuhuku nyumbani kwa kuingiziwa kwenye accounts zao. Dollars wanazolipwa kule ni allowance tu za kuwawezesha kuishi kule...Huu ni utaratibu wa muda mrefu sana.

Nimejaribu tu kueleza kwa ufupi..anayeweza kuelezea kwa urefu zaidi na afanye hivyo. Na kama anayejua kuwa utaratibu huu umebadilishwa basi na atuelezee.
 
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Atakua balozi wa nyumba kumi huyo.
 
Maada juu ya maada.

Wadau mimi binafsi nimekuwa na hamu kubwa ya kufanya kazi ubalozini(nje),na ktk ishu zangu za kielimu nimepanga niapply Diplomacy &IR ili tu niweze fikia haya matamanio yangu.Je, kule ubalozini ninaweza kwenda kuhudumu kama afisa wa cheo cha chini! Kama ndio, ni vitengo gani ambavyo maafisa wa chini tunaweza hudumu!

Ondoa kitengo cha defence attache coz I'm not a soldier.
Asilimia zaidi ya 95%+ maafisa ubalozi duniani kote ni watumishi wa Idara za Usalama wa Taifa husika.
Narudia maafisa zaidi ya 95%+ ni watumishi ni majasusi.
Balozi tu ndio anaweza kuwa sio jasusi(kwa kuwa ni nafasi za kisiasa)ila waliobaki karibu wote ni majasusi.
 
Asilimia zaidi ya 95%+ maafisa ubalozi duniani kote ni watumishi wa Idara za Usalama wa Taifa husika.
Narudia maafisa zaidi ya 95%+ ni watumishi ni majasusi.
Balozi tu ndio anaweza kuwa sio jasusi(kwa kuwa ni nafasi za kisiasa)ila waliobaki karibu wote ni majasusi.
Fursa unayo pia, balozi anao waambata wa nyanja mbalimbali hasa Uchumi, ukizingatia ni wakati wa diplomasia ya Uchumi. Kaza buti.
 
Fursa unayo pia, balozi anao waambata wa nyanja mbalimbali hasa Uchumi, ukizingatia ni wakati wa diplomasia ya Uchumi. Kaza buti.
Nadhani umeni quote vibaya sio mie ninayetaka nafasi ya uambata ubalozini.
Mimi nilikuwa nataka kumuelezea tu.

Pamoja na hayo hao waambata wote sio wa kiuchumi, kiutamaduni na hata wale waambata wa afya(madaktari) yaani maafisa asilimia 95%+ uabalozi ni majasusi na huu ni utamaduni wa dunia nzima.
 
Sema na sisi wabongo changamoto mtu kauliza swali rahisi sana lakutaja amount anayolipwa balozi hilo tu kila mtu kaja na atack ya uswahili mtupu kama maswali madogo hivi unatokwa na mishipa mara je makubwa itakuwaje mtegemea cha nduguye (ulitaka akutegemee wewe .......tujaribu tengeneza platform nzuri kwa ajili ya watu kujifunza na kuget inspired .....sio tutengeneze kizazi cha shombo na uswahilin
Asante mkuu,pia ingesaidia general public kujua mshahara wa hawa viongozi wetu,hayo mengine kwamba ni ndugu yake sisi yasingetuhusu ilimradi jibu lake keshapewa
 
Utakuwa wa kawaida tu sema wana kuwa na sifa ya kuwa nje ya nchi. Msafisha choo uingereza huwa tuna muona bora kuliko msafisha choo ikulu simply because yule mwingine tuna sema yuko ng'ambo au mtoni na kwakuwa anakwenda na kurudi kwa ndege
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom