Sema na sisi wabongo changamoto mtu kauliza swali rahisi sana lakutaja amount anayolipwa balozi hilo tu kila mtu kaja na atack ya uswahili mtupu kama maswali madogo hivi unatokwa na mishipa mara je makubwa itakuwaje mtegemea cha nduguye (ulitaka akutegemee wewe .......tujaribu tengeneza platform nzuri kwa ajili ya watu kujifunza na kuget inspired .....sio tutengeneze kizazi cha shombo na uswahilin
Balozi si mtumishi wa serikali?siri ya nini..mbona wa raisi,mawaziri,wabunge,wakuu wa mikoa nk inajulukana
Unafikir huko ubalozini kuna wa cdm? Tulia hapo bongo tu.Ni kweli braza ila mi nilitamani hivyo.
Daah!ila mzee hiyo ya kuwa sisiemu ni bora nikawe msafisha mitaro, usisiemu ni us....
Una uhakika na unachokiongea?Hapo inategemea ni balozi was wp! Na kahudumu nchi ngapi? Ukumbuke kuna nchi ni ngumu kuna vita bunduki,mabomu ni vitu vya kawaida halafu kuna nchi ni kukuna Nazi mfano mombasa, Dubai na kuna nchi ni mazoezi tu km China. Ukija UK ni EPL acha Marekani ni basketball so narudia tena itategemea na nchi mkuu
5m ...Umewahi kuona balozi tajiriKama unaujua, mjibu muuliza swali.
Ikiujua mshahara wake utamletea tabu wewe; huchelewi kukusanya ukoo na kwenda kwa mh Balozi ili ule vinonoWadau,
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Hata kama taasisi ina mshahara viwango vyao binafsi (Saalary scales) kupitia financial regulations zao lazima zipitishwe na Wizara inayosimamia utumishi wa umma! Siyo kweli kuwa akina Mchechu waliamua tu 32M, hapana. Uongo uko wapi hapo?!Wewe jamaa ni bonge la muongo
Ingekuwa hivo ofisi zote za umma zingekuwa na maslahi yanayokaribiana kwa wafanyakazi wao.
Waziri yeyote akiteuliwa anapewa kitu kinaitwa "instrument", instrument ya kusimamia utumishi wa umma ipo kwa waziri mwenye dhamana hiyo haijalishi wewe unafanya Wizara ya Afya, Maji, Madini nk mambo ya maslahi ya watumishi yako wizara hiyo nidiyo maana utasikia kupandisha mishahara inasomwa huko, na waraka wa mishahara unatolewa huko. We a greater thinkers let us think to that level!Anadhan Kila mtu yupo chini ya utumishi au tamisemi.si ajabu ukute ni "rimwarimu" huko wilayani nyang'hwale
Umeelewa mantiki ya jamaa, hilo liko wazi mapendekezo ya mishahara ya taasisi husika lazma yaidhininishwe na katibu mkuu hazina pamoja na utumishi pale itakapoonekana taasisi ina uwezo wa kuilipa.Hata kama taasisi ina mshahara viwango vyao binafsi (Saalary scales) kupitia financial regulations zao lazima zipitishwe na Wizara inayosimamia utumishi wa umma! Siyo kweli kuwa akina Mchechu waliamua tu 32M, hapana. Uongo uko wapi hapo?!
Wewe nae acha uongo waziri hahusiki na kukisia mishahara iliyo chini ya taasisi zake...Waziri yeyote akiteuliwa anapewa kitu kinaitwa "instrument", instrument ya kusimamia utumishi wa umma ipo kwa waziri mwenye dhamana hiyo haijalishi wewe unafanya Wizara ya Afya, Maji, Madini nk mambo ya maslahi ya watumishi yako wizara hiyo nidiyo maana utasikia kupandisha mishahara inasomwa huko, na waraka wa mishahara unatolewa huko. We a greater thinkers let us think to that level!
Wadau,
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.



Sawa tumekusikia waziri wa utopoloWaziri yeyote akiteuliwa anapewa kitu kinaitwa "instrument", instrument ya kusimamia utumishi wa umma ipo kwa waziri mwenye dhamana hiyo haijalishi wewe unafanya Wizara ya Afya, Maji, Madini nk mambo ya maslahi ya watumishi yako wizara hiyo nidiyo maana utasikia kupandisha mishahara inasomwa huko, na waraka wa mishahara unatolewa huko. We a greater thinkers let us think to that level!
Balozi Kairukibalozi idd seif
balozi juma mwapachu
Nimejikuta tu majina ya mabalozi yananijia kichwani....
Hivi yule balozi mume wa Anjela kairuki anaitwa nani vile?
Naomba utoe ufafanuzi wewe ulivyoelewa.Umeelewa mantiki ya jamaa, hilo liko wazi mapendekezo ya mishahara ya taasisi husika lazma yaidhininishwe na katibu mkuu hazina pamoja na utumishi pale itakapoonekana taasisi ina uwezo wa kuilipa.
Lakini umeona hoja ya huyo jamaa? Ni tofauti na hili
Nimesema mwenye instrument ni waziri, na kila Wizara ina majukumu yake maalum mandate , naomba uelewe hoja.Wewe nae acha uongo waziri hahusiki na kukisia mishahara iliyo chini ya taasisi zake...
Msilishe watu matango pori, ngoja nikipata mda tutaelekezana vizuri kweye hili.
Asante mzee wa kutaka kujua mishahara ya wanaume!Sawa tumekusikia waziri wa utopolo
Me ndo nimetaka kujua mishahara ya mabalozi? We hujielewi eeh? Hebu pitia uzi huko juu uone nan kaanzisha bwege weeAsante mzee wa kutaka kujua mishahara ya wanaume!