Mshahara wa Balozi wa Tanzania

Mshahara wa Balozi wa Tanzania

Tatizo la waTanzania ni moja tu,hapo mmesha mfata na mashida yenu chungu mzima huku mmejifukiza na ubani awape pesa,kiasi cha kumtazama nduguyo na kusema yupo yupo tu kuna jambo ndani yako kua unamvizia kumpiga mzinga na asaidie ukoo mzima bila kujua ana maisha yake,mnadhani yeye mjinga? kafanye kazi kwa bidii utengeneze uchumi wako mwenyewe
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
 
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Mshahara wa chijubwa Serikali au uliokuwa level yako ya mwisho kabla ya kuteuliwa
 
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.

Mtegemea cha nduguye hufa maskini.

Kumekucha! Amka ukafanye kazi!
 
Nimewahi kukaa ughaibuni kwa muda mfupi na mara nyingi nilikuwa naenda Ubalozini kwetu. Nilivyowaona hawana raha na amani kama wangekuwa huku nyumbani. Huku nyumbani unaweza ukajituma na kufanya mambo yako binafsi ya kimaendeleo lakini kule hiyo haiwezekani. Kwahiyo kuwa Balozi ni heshima lakini huko mbeleni kimaendeleo binafsi kuna giza.
 
Sema na sisi wabongo changamoto mtu kauliza swali rahisi sana lakutaja amount anayolipwa balozi hilo tu kila mtu kaja na atack ya uswahili mtupu kama maswali madogo hivi unatokwa na mishipa mara je makubwa itakuwaje mtegemea cha nduguye (ulitaka akutegemee wewe .......tujaribu tengeneza platform nzuri kwa ajili ya watu kujifunza na kuget inspired .....sio tutengeneze kizazi cha shombo na uswahilin
 
Wadau,

Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?

Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?

Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Mshahara ni wake binafsi na ni siri yake wewe unautaka wa nini?! Fanya kazi acha kunyemelea mshahara wa balozi. Mtegemea chanduguye ................ Hufa masikini!
 
Sema na sisi wabongo changamoto mtu kauliza swali rahisi sana lakutaja amount anayolipwa balozi hilo tu kila mtu kaja na atack ya uswahili mtupu kama maswali madogo hivi unatokwa na mishipa mara je makubwa itakuwaje mtegemea cha nduguye (ulitaka akutegemee wewe .......tujaribu tengeneza platform nzuri kwa ajili ya watu kujifunza na kuget inspired .....sio tutengeneze kizazi cha shombo na uswahilin
Unajifunza nini juu ya mshahara wa mwenzako? Tafuta zako, hakuna u greater thinker kwenye mshahara wa mwenzio.
 
Acha Uongo na kulisha watu matango poli! Mshahara haupangwi na Wizara ya Kabudi wala hakuna Wizara kama hiyo Tanzania. Mishahara yote ya watumishi wa inapangwa na Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa ushirikiana wa Karibu na Wizara ya Fedha!
Wewe jamaa ni bonge la muongo

Ingekuwa hivo ofisi zote za umma zingekuwa na maslahi yanayokaribiana kwa wafanyakazi wao.
 
balozi idd seif
balozi juma mwapachu

Nimejikuta tu majina ya mabalozi yananijia kichwani....

Hivi yule balozi mume wa Anjela kairuki anaitwa nani vile?
 
Wewe jamaa ni bonge la muongo

Ingekuwa hivo ofisi zote za umma zingekuwa na maslahi yanayokaribiana kwa wafanyakazi wao.
Halijielewi Hilo kilaza..ingekuwa hivo mbona kina mchechu alikuwa anakunja had 32m per month
 
balozi idd seif
balozi juma mwapachu

Nimejikuta tu majina ya mabalozi yananijia kichwani....

Hivi yule balozi mume wa Anjela kairuki anaitwa nani vile?
Ushamtaja jina tayar haalafu unauliza anaitwa nan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom