G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,686
Tatizo la waTanzania ni moja tu,hapo mmesha mfata na mashida yenu chungu mzima huku mmejifukiza na ubani awape pesa,kiasi cha kumtazama nduguyo na kusema yupo yupo tu kuna jambo ndani yako kua unamvizia kumpiga mzinga na asaidie ukoo mzima bila kujua ana maisha yake,mnadhani yeye mjinga? kafanye kazi kwa bidii utengeneze uchumi wako mwenyewe
Wadau,
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.

