Habari wanaJF, kuna kampuni moja kubwa kwa jina hapa Tanzania na muhimu katika nchi yetu. Cha kushangaza ni kwamba tangu watuwaajiriwe hawaja sign contract.
Pili malipo kwa mwezi ni 105000Tsh tu. Na wanalipa kwa cammission, kazi ni ngumu kwani wawezapata wateja hata 600 kwa mwezi but wakiondoa dublication unaweza jikuta unabaki na wateja 300 kwa mwezi hapo kuna kukatwa NSSF.
Ni sawa kweli wana JF?
Pili malipo kwa mwezi ni 105000Tsh tu. Na wanalipa kwa cammission, kazi ni ngumu kwani wawezapata wateja hata 600 kwa mwezi but wakiondoa dublication unaweza jikuta unabaki na wateja 300 kwa mwezi hapo kuna kukatwa NSSF.
Ni sawa kweli wana JF?