Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: Abwabwaja kuishambulia Israel bila kusita!

Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: Abwabwaja kuishambulia Israel bila kusita!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran:

"Tulirusha makombora 2,000 na UAV kuelekea Israel wakati wa makabiliano. Ikiwa tutashambuliwa tena, hatutakuwa na mistari nyekundu."

“Mytake”

Ikiwa kweli walirusha makombora 2,000 na UAV, ambayo ni karibu 1% tu iliyotua katika eneo la Israeli. Basi kushindwa kwa Irani ni kwa 99%.

Harafu huyohuyo aliyeshindwa kwa 99% ndiyo anabwabwaja kuishambulia Israel bila kusita hiyo ndiyo Taqiyyah kweli kweli!!

Wakati Wafanyikazi wakuu wake wote na vifaa vya nyuklia viliangamizwa kwa siku 12 - je, kwa nini hawa kushambulia bila kusita wakati huo?

IMG_3514.jpeg
 
Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran:

"Tulirusha makombora 2,000 na UAV kuelekea Israel wakati wa makabiliano. Ikiwa tutashambuliwa tena, hatutakuwa na mistari nyekundu."

“Mytake”

Ikiwa kweli walirusha makombora 2,000 na UAV, ambayo ni karibu 1% tu iliyotua katika eneo la Israeli. Basi kushindwa kwa Irani ni kwa 99%.

Harafu huyohuyo aliyeshindwa kwa 99% ndiyo anabwabwaja kuishambulia Israel bila kupita hiyo ndiyo Taqiyyah kweli kweli!!

Wakati Wafanyikazi Mkuu wake wote na vifaa vya nyuklia viliangamizwa kwa siku 12 - je, kwa nini hawa kushambulia bila kusita wakati huo?

View attachment 3394069
Hii mikwara tu. Washaujua mziki wa mzayuni. Tehran panaingilika na panapigika kirahisi. Wangekuwa wababe wasingekubali cease fire kirahisi vile.
Kwanza Ayatollah keshatoka pangoni? Israel watamuua kwa pressure yule mzee na ndevu zake kama fagio la ndani
 
Israel kapigika wewe kenge endeleza kanga za kishoga hapa, tena wamshukuru sana Trump ndio kawaokoa, angekuwa yule kizee Biden angendelea kuwapa silaha mpaa wakaisha waisraeli wote hahaha


View: https://youtu.be/bpgMVjlPQsY?si=FrhZYG5PzZDMGkfI

Nimejaribu kuangalia video nikijua kuwa Israel amepigika kumbe ni same picture same area ambazo tuliona za residential area.. kwani lini utaanza kuongea ukweli ili ukuweke huru wewe, everything uletacho humu i fake fake tu. inaelekea hata ukitoa salamu msikitini pia ni fake greetings hahaha

Sasa Russia kasema wapi kuwa US Kaiokoa Israel? Day twelve ilikuwa siku ya msiba mkubwa tehran ndio Trump kawaokoa Makobazi.

Iran alipoona Hezbollah kakataa kumsaidia akawa Mnyonge kweli akaona atulizane hahaha
 
Nimejaribu kuangalia video nikijua kuwa Israel amepigika kumbe ni same picture same area ambazo tuliona za residential area.. kwani lini utaanza kuongea ukweli ili ukuweke huru wewe, everything uletacho humu i fake fake tu. inaelekea hata ukitoa salamu msikitini pia ni fake greetings hahaha

Sasa Russia kasema wapi kuwa US Kaiokoa Israel? Day twelve ilikuwa siku ya msiba mkubwa tehran ndio Trump kawaokoa Makobazi.

Iran alipoona Hezbollah kakataa kumsaidia akawa Mnyonge kweli akaona atulizane hahaha
Hawa ndio wanajua ukweli sikiliza hio video, afu punguza uwongo Iran hakuomba Hezbullah aingie kwenye vita na Iran atawatumia Hezbullah kwenye vita inayo kuja mpaa ground force itaingia kumbeba Netanyahu kwenye kikapu cha machungwa 🤣

View: https://youtu.be/GUjckivz8S4?si=1AK7SlHFTOeu5jDI
 
Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran:

"Tulirusha makombora 2,000 na UAV kuelekea Israel wakati wa makabiliano. Ikiwa tutashambuliwa tena, hatutakuwa na mistari nyekundu."

“Mytake”

Ikiwa kweli walirusha makombora 2,000 na UAV, ambayo ni karibu 1% tu iliyotua katika eneo la Israeli. Basi kushindwa kwa Irani ni kwa 99%.

Harafu huyohuyo aliyeshindwa kwa 99% ndiyo anabwabwaja kuishambulia Israel bila kupita hiyo ndiyo Taqiyyah kweli kweli!!

Wakati Wafanyikazi Mkuu wake wote na vifaa vya nyuklia viliangamizwa kwa siku 12 - je, kwa nini hawa kushambulia bila kusita wakati huo?

View attachment 3394069

Hawa jamaa akili hawana.
 
Safari hi Rising Lion atajificha wapi, Iran wamesema Missiles safari hi zitaenda kumzika mzima mzima atafia shimoni.


View: https://youtu.be/FGgvppGmosU?si=AoBOBa6ZzEbuDL9o

Sasa kumbe walikuwa Hawajui muda wote? Basi hawana Intel yyte hao kobazi zaidi ya kurusha rusha tu tu vimondo bila direction. Wanajaribu kujionesha kuwa kama Israel eti na wao wamejua BiBi anapo lala, wanajikosha hao kuepuka aibu yao ya wale makamanda wao waliotangulizwa kula bkr 72.
 
Hawa ndio wanajua ukweli sikiliza hio video, afu punguza uwongo Iran hakuomba Hezbullah aingie kwenye vita na Iran atawatumia Hezbullah kwenye vita inayo kuja mpaa ground force itaingia kumbeba Netanyahu kwenye kikapu cha machungwa 🤣

View: https://youtu.be/GUjckivz8S4?si=1AK7SlHFTOeu5jDI

Hawa unaowasifia kuwa wanajua ukweli wakati wao wenyewe hawana na uhakika wa wanayoyasema hawana uthibitisho wanabwabwaja tu kama wewe unavyobwabwaja ovyo!!!
 
Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran:

"Tulirusha makombora 2,000 na UAV kuelekea Israel wakati wa makabiliano. Ikiwa tutashambuliwa tena, hatutakuwa na mistari nyekundu."

“Mytake”

Ikiwa kweli walirusha makombora 2,000 na UAV, ambayo ni karibu 1% tu iliyotua katika eneo la Israeli. Basi kushindwa kwa Irani ni kwa 99%.

Harafu huyohuyo aliyeshindwa kwa 99% ndiyo anabwabwaja kuishambulia Israel bila kusita hiyo ndiyo Taqiyyah kweli kweli!!

Wakati Wafanyikazi wakuu wake wote na vifaa vya nyuklia viliangamizwa kwa siku 12 - je, kwa nini hawa kushambulia bila kusita wakati huo?

View attachment 3394069
Kama wamedanganya tuambie cease fire aliomba nani?
Haiwezekan kama unampiga mtu afu uombee poo ww badala uliempiga ndio aombe
 
Kama wamedanganya tuambie cease fire aliomba nani?
Haiwezekan kama unampiga mtu afu uombee poo ww badala uliempiga ndio aombe
Tumia akili zako vizuri ulizopewa na Mungu!!!
Iran ndiye alivamiwa alishambuliwa na makamanda wake waandamizi 30+ waliuwawa na wanasayansi wake 60+ nao waliangamizwa, Mifumo ya ulinzi wa anga wa Iran uliharibiwa na ndege-vita za Israel zilikuwa zinaingia na kutoka Iran bila shida yoyote na zilikuwa zinapiga popote zilipotaka na hakuna ndege-vita yoyote iliyoangushwa na Iran.

Kwa hali hiyo yote inaonyesha wazi kuwa Iran haikuwa na uwezo wowote wa kuhimili Vishindo vya majeshi ya Israel huko Iran na katika hali hiyo Iran kama ndiye aliyevamiwa hakupaswa kukubali usitishwaji wa mapigano maana kachokozwa lakini kwa kuwa alikuwa ameishiwa pumzi ilibidi tu akubali vita isimame maana nguvu ya kukabiliana na wababe wa Israel alikuwa hana!!!
 

Attachments

  • IMG_3499.jpeg
    IMG_3499.jpeg
    132.9 KB · Views: 16
  • IMG_3479.jpeg
    IMG_3479.jpeg
    351.6 KB · Views: 16
  • IMG_3483.jpeg
    IMG_3483.jpeg
    59.3 KB · Views: 15
Uzuri Israel huwa hawaongei sana wanatenda tu
kuna watu wana mdomo kama waisraeli na trump,hujui juzi waziri wa israeli alitoa michambo kuhusu kushambulia iran,huyo msemaji kajibu michambo ya muisraeli tu hapo
 
Back
Top Bottom