Huyo nae phd yake kama ya sisonjeMsemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
Aje atwambie noah zetu zimefikia wapi mana leseni zinazidi kuelekea ku-expire.Msemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
waliopunguzwa kazi kwa vyeti feki mna usongo !!!Ana lipi la maana?! Mambo yoote tunajua anaamua fulani ?!
Hapo tutarajie pumba tu kama kawaidaMsemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
Huyu naye anataka kuongea nini? Kipi tusichojua? Mbona tuna habari kamili na za ukweli kumzidi hata yeye? Anajichosha tu na kupoteza muda wake.Msemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
Huyo kadi yake ya lumumba no napi??awamu hii kma futuhi kila mtu msemaji na wasiwasi nae huyo msemaji lazma anadegree kma za lemutuzMsemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
Hujalazimishwa kumsikiliza kama unajua kila Kitu endelea na kazi zako waache ambao hawajui.Watz bwana kila mtu anajua kila Kitu kumbe hakuna Kitu.Huyu naye anataka kuongea nini? Kipi tusichojua? Mbona tuna habari kamili na za ukweli kumzidi hata yeye? Anajichosha tu na kupoteza muda wake.
Jifunze kuandika boss.Anataka kukanusha kuwa Lissu hajapigwa lisasi? Au anataka kukanusha kuwa serikali haihusiki....