Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
hana la maana ni rubbish tuNdio tatizo lenu hilo!ni vema ungesubiri kusikia atasema nini au upuuze kabisa
hana la maana ni rubbish tuNdio tatizo lenu hilo!ni vema ungesubiri kusikia atasema nini au upuuze kabisa
hawezi kuwa na la maana kwa hali tuliyonayo. Sana sana atasema uongo aliopewa kuusema. No true statement can he expected from these yes menHujalazimishwa kumsikiliza kama unajua kila Kitu endelea na kazi zako waache ambao hawajui.Watz bwana kila mtu anajua kila Kitu kumbe hakuna Kitu.
Msemaji wa Serikali ataongea na vyombo vya Habari saa 4 MAELEZO leo kuhusu Tanzania yetu.
Chanzo: Tweeter
ndugu yangu unaonekana unaroho mbaya ...seng...e. nahisi ni wale watu wa mtaani ambao wanatabia za kizandiki na ushirikina,sio kwa uharo ulioandika hapa hata reasons huna, nikosoe kama siko sahihiTangu nchi hii ipate uhuru sijawahi ona msemaji wa Serikali kama huyu jamaa!!! Hivi hii kazi alipewa Kwa vigezo gani?
Lakini ya nini buana acha wafu wazikane!!!! Awamu ya ajabu hii haijawahi tokea!!! Itakuwa simulizi kwenye vitabu na maandiko ya historia ya nchi hii!!!!
Hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyeongelea hili officially ............ sasa leo tuje kumsikiliza msemaji wa serikali na kumuamini!! Seriously!!?Anataka kukanusha kuwa Lissu hajapigwa lisasi? Au anataka kukanusha kuwa serikali haihusiki....
Ndio ni kweli Lissu hajapigwa LISASI bali amepigwa RISASI uko sahihi kabisa!Anataka kukanusha kuwa Lissu hajapigwa lisasi? Au anataka kukanusha kuwa serikali haihusiki....
Lisasi ndio nyama gani hiyo?Anataka kukanusha kuwa Lissu hajapigwa lisasi? Au anataka kukanusha kuwa serikali haihusiki....
Dudu linaniwashaOK basi achana naye endelea na kazi zako...nini kinakuwasha??
Chukua nchi na wewe utuletee ukweli wako kama ule wa tiba ya million 10 kwa siku.
Upo obsessed sana na jamaa. Inawezekana hata usiku huwa unamuota anakuingizia mjohoro.Umekuja kwenye hoja yangu...Tundu Lissu Dunia nzima ni hao hao waandishi wako wameandika ktk magazeti yetu.
Nasikia bichwa komwe limejipigiza bafuni likachemsha kuhudhuria madhabahuni pa Bwana.Aje atwambie noah zetu zimefikia wapi mana leseni zinazidi kuelekea ku-expire.
Pia atupatie mrejesho wa albadiri hali yahewa ikoje pande iyo