GE2025 Msemaji wa Polisi: Ukiziona tena gari zenye 'plate number SSH 2530' toa taarifa

GE2025 Msemaji wa Polisi: Ukiziona tena gari zenye 'plate number SSH 2530' toa taarifa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Magari mengi ya kunjunga
Na wajanja wanayafahamu
Watu wameweka plate # ya mama 😄

Ova
 

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema kwamba tayari Jeshi hilo limechua hatua kuhusu magari yaliyokuwa na namba za usajili SSH2530 ambapo amesema kwamba kwa sasa magari hayo hayataonekana.

Amesema kwamba baadhi ya magari yenye namba hizo yamekamatwa huku akitoa wito kwa Wananchi watakaoziona gari zenye namba hizo kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili hatua ziweze kuchukua.

Amefafanua kuwa kama 'plate number' hazipo kwenye mfumo rasmi uliohalilishwa na Serikali hizo zinakuwa sio sahihi.

Hayo ameyasema leo Agost 29, 2025, katika mdahalo wa Kitaifa kuhusu usalama wa waandishi wa Habari kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 ambao umewakutanisha waandishi wa habari na wadau wa vyombo vya habari.

Ikumbukwe kumekuwepo na mjadala katika mitandao ya kijamii hususani JamiiForums kuhusu uhalali wa gari zinazotomia namba hizo.

Pia soma
zinapita barabarani sio vyumbani!
 
Baada ya kuona uchaguzi unakaribia na upepo haueleweki wananchi wameamka wanaanza kujidai wanashughulikia mambo fulani.
 
Hili suala la plate namba hapa nchimi limekuwa sugu.
Hapa nimepitwa na Hammer halina plate namba kabisa juzi magari yaliyokuwa yameegeshwa Kisutu 💯 kubwa haya kuwa na namba ingawa yote yalikiwa yanaendeshwa na polis wenyewe.
 
😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema kwamba tayari Jeshi hilo limechua hatua kuhusu magari yaliyokuwa na namba za usajili SSH2530 ambapo amesema kwamba kwa sasa magari hayo hayataonekana.
View attachment 3457745
Amesema kwamba baadhi ya magari yenye namba hizo yamekamatwa huku akitoa wito kwa Wananchi watakaoziona gari zenye namba hizo kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili hatua ziweze kuchukua.

Amefafanua kuwa kama 'plate number' hazipo kwenye mfumo rasmi uliohalilishwa na Serikali hizo zinakuwa sio sahihi.

Hayo ameyasema leo Agost 29, 2025, katika mdahalo wa Kitaifa kuhusu usalama wa waandishi wa Habari kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 ambao umewakutanisha waandishi wa habari na wadau wa vyombo vya habari.

Ikumbukwe kumekuwepo na mjadala katika mitandao ya kijamii hususani JamiiForums kuhusu uhalali wa gari zinazotomia namba hizo.

Pia soma

Vipi waliozitengeneza hizo plate number nao wamekatwa au ni hao wenye magari na boda boda zenye hizo plate number tu?

Tutahoji sana lakini wanafanya comedy. Lakini ipo siku watajibu kwa nini taifa letu liaibishwe kiasi hiki na wao wapo tu kudanganya, kuongopea.

Yana mwisho, ni suala la muda tu kufika.
 
Back
Top Bottom